Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Wengine wameondoka na basi jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili sisi wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo akiwa katika Kipindi chao cha Sports Headquarters cha EFM.

Nami GENTAMYCINE nasema ni bora (Kheri) uwe Masikini ila usiwe Mshamba kuliko kuwa tajiri halafu bado ni Mshamba na limbukeni sana.

Hakika Ushamba ni Mzigo kweli kweli.
 
Hivi huyu Kitenge anayekwenda ulaya na Marekani kama kariakoo unapata wapi ujasiri wa kumuita mshamba?
Aliyekuambia kila aendae au aishiye Ulaya na Marekani ni Mjanja nani? Na Wewe jambo hili jepesi limekushinda Kulielewa?

Hujui kuna Watu wako Bongo ni Wajanja wa Kuwazidi hawa Unaoshoboka nao na Kuwaogopa kwa kwakuwa tu Passports zao zina Mihuri mingi ya Migrations kuliko yako ambayo huenda haina hata Mhuri Ukurasa wa Kwanza tu?

Na ni kwanini 85% ya Watu maarufu wengi wakienda huko Ulaya na Marekani wakirejea Bongo wanarudi na Ushoga Mwiba?
 
Aliyekuambia kila aendae au aishiye Ulaya na Marekani ni Mjanja nani? Na Wewe jambo hili jepesi limekushinda Kulielewa?

Hujui kuna Watu wako Bongo ni Wajanja wa Kuwazidi hawa Unaoshoboka nao na Kuwaogopa kwa kwakuwa tu Passports zao zina Mihuri mingi ya Migrations kuliko yako ambayo huenda haina hata Mhuri Ukurasa wa Kwanza tu?

Na ni kwanini 85% ya Watu maarufu wengi wakienda huko Ulaya na Marekani wakirejea Bongo wanarudi na Ushoga Mwiba?
Ndugu yangu wewe sijui unaishia maisha ya aina gani, Kuna vitu hata hupaswi kuvifungulia uzi yaani
 
"Wengine wameondoka na Basi Jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili Sisi Wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo akiwa katika Kipindi chao cha Sports Headquarters cha EFM.

Nami GENTAMYCINE nasema ni bora ( Kheri ) uwe Masikini ila usiwe Mshamba kuliko kuwa Tajiri halafu bado ni Mshamba na Limbukeni sana.

Hakika Ushamba ni Mzigo kweli kweli.
Yaani huachagi tu kumsakama Kitenge lam
 
Bora kitenge kuliko Lema. Huyu kada wa CHADEMA kukaa Canada miaka 2 karudi na kuona bodaboda na vicoba kama upuuzi mtupu.
 
Ndugu yangu wewe sijui unaishia maisha ya aina gani, Kuna vitu hata hupaswi kuvifungulia uzi yaani
Umekunywa Kidonge chako cha Kurukwa na Akili Kwako huku? Kama bado Kunywa Kwanza ili baadae ukija Uandike vya maana sawa?
 
Yaani huachagi tu kumsakama Kitenge lam
..
FB_IMG_1629179437509.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
"Wengine wameondoka na Basi Jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili Sisi Wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo akiwa katika Kipindi chao cha Sports Headquarters cha EFM.

Nami GENTAMYCINE nasema ni bora ( Kheri ) uwe Masikini ila usiwe Mshamba kuliko kuwa Tajiri halafu bado ni Mshamba na Limbukeni sana.

Hakika Ushamba ni Mzigo kweli kweli.
alikuwa anaongea kwa utani
 
"Wengine wameondoka na Basi Jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili Sisi Wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo akiwa katika Kipindi chao cha Sports Headquarters cha EFM.

Nami GENTAMYCINE nasema ni bora ( Kheri ) uwe Masikini ila usiwe Mshamba kuliko kuwa Tajiri halafu bado ni Mshamba na Limbukeni sana.

Hakika Ushamba ni Mzigo kweli kweli.
Alikuwa anamwambia Jemedari,Oruma na Geoff ili wapambane na maisha,wasitegemee tsh 10,000/-@kipondi.wataishia kupokea bahasha za bi chaunabe.kupanda daladala hakutawaisha na jasho la kwapa
 
Back
Top Bottom