Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

Mtangazaji wa EFM Radio Maulid Kitenge acha Dharau na Sanifu zako kwa wana EFM Jogging Club wako

Bora kitenge kuliko Lema. Huyu kada wa CHADEMA kukaa Canada miaka 2 karudi na kuona bodaboda na vicoba kama upuuzi mtupu.
Sasa na wewe kwa akili ya kawaida tu,vicoba vina mchango gani kwa ukuaji wa taifa??
 
Sasa na wewe kwa akili ya kawaida tu,vicoba vina mchango gani kwa ukuaji wa taifa??
Wewe mpumbavu elewa kwanza VICOBA (Village Community Bank) vipo kisheria na vina utaratibu mzuri kwenye uendeshaji. Ni tofauti na vikundi vya upatu ambavyo havina faida yoyote na ni hatari kwa hela zako. Wewe na mumeo Lema mnashindwa kutofautisha VICOBA na hivyo vikundi.
 
"Wengine wameondoka na basi jana na huenda kwa sasa bado wako njiani kufika Mkoani Mwanza ili sisi wengine na Jitu la Mitumba tunaondoka kwa Ndege tu na tutafika kabla yao na Kesho tutakimbia pamoja kisha nitakwea tena Pipa na Kurejea zangu Dar es Salaam" alisema Mtangazaji Maulid Kitenge leo akiwa katika Kipindi chao cha Sports Headquarters cha EFM.

Nami GENTAMYCINE nasema ni bora (Kheri) uwe Masikini ila usiwe Mshamba kuliko kuwa tajiri halafu bado ni Mshamba na limbukeni sana.

Hakika Ushamba ni Mzigo kweli kweli.
Wazee wa flight [emoji3575][emoji928] tumekaa tumetulia tu hatu brag hatuna mbambamba
 
Back
Top Bottom