GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Sina ru Degree ya SAUT Mwanza bali nina Masters pia ya SAUT na niko mbioni sasa kuanza Doctorate Program yangu. SAUT na Mimi na Mimi na SAUT daima.Ww unamsema mwenzako ana degree ya OUT alafu ww una ya SAUTI daah!!
Ningekuona wamaana kama ungekuja kuwasema wachambuzi wengine wa mchongo kama wakina Jemedari, yule Twiga na yule mwny mdomo kama chuchunge, yaani ww unatafuta wanaoikosoa Simba tu.Sina ru Degree ya SAUT Mwanza bali nina Masters pia ya SAUT na niko mbioni sasa kuanza Doctorate Program yangu. SAUT na Mimi na Mimi na SAUT daima.
Haya njoo tena la lingine Juha Wewe.
Huyu bwege kwa sababu kauanzisha huu mpambano kama walivyoanzisha Hamas usimbakishe hata kiduchu iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wasiozingatia maadili ya taaluma zao,mpe haki yake.Na tayari ameshatumiwa huu Uzi wangu katika Kundi lao la WhatsApp na nasikia kawa Mpole na GENTAMYCINE namuonya awe Mpole hivyo hivyo kwani niliyoyaelezea hapa ya Kumhusu hata 50% bado hayajafika na mengine nimeyahifadhi.
Naona leo umeamua kutuonyesha 'Basha' wako Kilazima. Tunakushukuru.Tangu umejua kutumia smartphone tena hizi za mkopo kwa siku unalipishwa shilling 800 , tunajuta JF zamani haikuwa hivi View attachment 2785093
Nimeshamnyoosha tayari na huko WhatsApp Kwao sasa Moto mkubwa unawaka huku akiwa Mpole tu Kudadadeki zake.Huyu bwege kwa sababu kauanzisha huu mpambano kama walivyoanzisha Hamas usimbakishe hata kiduchu iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wasiozingatia maadili ya taaluma zao,mpe haki yake.
@Moderator huyu jamaa atakua ana dhalilisha watu hadi lini mbona mnamuendekeza?Na tayari ameshatumiwa huu Uzi wangu katika Kundi lao la WhatsApp na nasikia kawa Mpole na GENTAMYCINE namuonya awe Mpole hivyo hivyo kwani niliyoyaelezea hapa ya Kumhusu hata 50% bado hayajafika na mengine nimeyahifadhi.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!Tutegemee mengi msimu wa mvua huu
Hilo ndio tatizo lako hukubali maoni ya wengine, haya ni maoni tu sio lazima iwe hivyo. Kuona kila unachosema wewe ni sahihi hilo ni tatizo mkuu.Simba SC haijawahi Kuifunga Al Ahly SC mara Mbili hapa hapa kwa Mkapa? Nilikuwa nakuheshimu kumbe nawe ni type ile ile tu ya Waingiliwaji wasio na Akili.
Wacha huyo kanjanja anyooshwe kwa kukiuka maadili ya kazi yake@Moderator huyu jamaa atakua ana dhalilisha watu hadi lini mbona mnamuendekeza?
Kumpa Mtu makavu yake mubashara ni Kumdhalilisha? Kipimo chako kuwa huu Uzi wangu nimemdhalilisha huyo Mtangazaji mwana Yanga SC Mwenzako Twalib Othman Muwa ni Kipi?@Moderator huyu jamaa atakua ana dhalilisha watu hadi lini mbona mnamuendekeza?
Umeandika vyema Mkuu. Namnyoosha ili akae sawa Kimaadili hasa ya Uandishi wa Habari ( Utangazaji wake ) ukiwemo.Wacha huyo kanjanja anyooshwe kwa kukiuka maadili ya kazi yake
Nitolee Upuuzi wako Mnafiki mkubwa Wewe.Hilo ndio tatizo lako hukubali maoni ya wengine, haya ni maoni tu sio lazima iwe hivyo. Kuona kila unachosema wewe ni sahihi hilo ni tatizo mkuu.