Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

2. Kama kila Redio anayokuweko yeye kutwa ni Kugombana tu na watangazaji wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

3. Kama kuwa kwake tu Mwenezi wa CCM huko kwao uswahilini Temeke anataka ukubwa alionao Mwenezi CCM Taifa ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

4. Kama tu Certificate yake Chuo Kimoja Ilala Shariff Shamba mwaka 2011 aliipata Kimagumashi (kwa Msaada na Kubebwabebwa) na Rafiki yake Mmoja aliyekuwa Mkufunzi hapo kutokana na Uhalisia wake wa Kuzaliwa na Uhaba wa Akili za Kitaaluma na Upumbavu mwingi unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

5. Kama alidiriki kula Pesa za Michango ya Harusi yake na kupotea kwa muda na kuitumia hiyo Hela kununulia Gari Mbovu (Vitz Nyeusi) ambayo ilimtesa mno hadi Kuiuza kwa Bei ya 'Skrepa' na kuanza kupanda DalaDala ambayo aliapa hatopanda tena unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

6. Kama akina Tido Mhando na Charles Hillary (kabla hajaondoka Azam Media kula Shavu la Rais Mwinyi Zanzibar) ambao walikuwa Mabosi zake wakubwa walimshindwa kutokana na tabia zake nyingi za Utovu wa Nidhamu na Kumuachisha Kazi hapo unadhani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

7. Kama ana Madeni ya Kutukuka hasa ya kwa Mama Ntilie (kutokana na tabia yake ya Uroho na Kupenda Kula Kula hovyo kama Paka wa Baa) huku Kutwa akiwakimbia Wanaomdai unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Mwanahabari kutofuata Misingi, taratibu na Kanuni za Habari (Utangazaji) Ukiwemo.

Hivi Mtangazaji huyu hajui kuwa moja ya Ethics za Mwanahabari (Utangazaji) aufanyao Yeye hairuhusiwi ukiwa Hewani kuonyesha Mapenzi yako / Upendeleo wa Timu fulani?

Hivi kuna Wasikilizaji / Watu wa Michezo nchini hawajui / hatujui kuwa Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro ni Simba SC lia lia na ana Kadi ya Uanachama na pia alishawahi hata kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC? Je, 'Maestro' akiwa Redioni huwa anaonyesha Mahaba yake / Upendeleo wake kwa Simba SC yake?

Kuna Mtu ambaye hajui kuwa Mpira wa Miguu una Matokeo matatu ya Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare?

Leo hii Mtangazaji wa Redio Kubwa ya EFM unaposema tena hewani kuwa Simba SC haiwezi Kumfunga Al Ahly SC Ijumaa wakati mara Mbili nzima huko nyuma ilishamfunga hapa hapa kwa Mkapa tukuelewaje?

Twalib Othman Muwa ndiyo maana kumbe pamoja na Kuhonga Watu wa Yanga SC na Kuzunguka sana kwa Waganga wa Kienyeji Bagamoyo ili uwe Msemaji wao (wa Yanga SC Kazi ambayo ulikuwa unaitaka kuliko Kitu chochote) bado Uongozi ukakutosa na kuwapa / kuwaamini akina Kamwe na Privaldinho na kuanza kuzunguka hovyo Matawini kuwapiga Majungu mpaka ulipoona Unapuuzwa nao na ukaamua kukubali Matokeo na kuwa Mpole.

Na GENTAMYCINE najua kuwa anayekuharibu Wewe hadi kuwa wa hovyo hivyo Kitasnia (Kiutangazaji) ni Mtangazaji unayempenda kuliko hata Mkeo Maulid Kitenge (mwana Yanga SC lia lia Mwenzako) na ndiyo maana Unamuiga Vitu vingi (Kila Kitu) ila Kuuiga tu Mafanikio yake Kimaisha na kale Kamchezo Kake kanakomshushia Hadhi / Heshima ndiyo umeshindwa.

Huo muda unaoutumia kila Siku Jioni (katika ile Segment) yako ya Habari za Michezo au katika Kipindi cha Michezo cha Jumapili Mchana (unachokuwepo) Kuisema vibaya na Kuichafua Simba SC ungekuwa unautumia Kuwaelezea Watanzania ni Fursa gani / zipi wanaweza Kuzipata kutokana na Ujio wa Shindano hili Jipya la African Football League ( AFL ) ningekuona wa maana ila naendelea kukuona Mnafiki, Mpumbavu na mwenye mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki (Mara) na Kiyao (Mtwara) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza.
Mtani umechafukwa..!! Sasa angalia hili povu ulilolimwaga hapa, mkifungwa litakugeukia 110% wallah. Time will tell
 
Kwenye Dunia ya sasa kusikiliza Radio pia ni Dalili ya Upungufu WA Akili.

Watangazaji wenyewe akina Mwijaku,
Baba Levo,
JUMA lokole,
Dida shaib,
Adam Mchomvu,
Dk kumbuka.
Hapana Hizo Radio ni ngumu sana kwangu kusikiliza.

Naweza nikawafuatilia WATU wa MAANA kama massoudmassoud, Ambangile, JEMEDARI na mbwaduke lakini si Radioni.

ANAANDIKA

TUKANA UONE

"Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake"

"TUKANA UONE"
Mwanzo umesema kuwa Wewe husikilizi Redio na Kunishangaa / Kutushangaa tunaosikiliza Redio cha Kushangaza hapa unewataja Wachambuzi wako bora wa Redio ambao huwa Unawasikiliza na Kuwapenda na kusema kuwa huwa unawatizama katika Television na YouTube.

Hivi hujui kuwa Content hiyo hiyo unayoitizama Wewe huko katika Television na Mtandaoni YouTube ndiyo hiyo hiyo hata Sisi wa Redioni tunaipata? Sasa hapo tofauti yako na yangu ni ipi au ni nini?.

Halafu nikikuita Mpumbavu unachukia.
 
1. Kama katumia miaka Sita (6) kuitafuta Degree yake (isiyoeleweka ) Open University of Tanzania (OUT) kutokana na uhaba wa Akili alionao Kichwani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

2. Kama kila Redio anayokuweko yeye kutwa ni Kugombana tu na watangazaji wenzake ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

3. Kama kuwa kwake tu Mwenezi wa CCM huko kwao uswahilini Temeke anataka ukubwa alionao Mwenezi CCM Taifa ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

4. Kama tu Certificate yake Chuo Kimoja Ilala Shariff Shamba mwaka 2011 aliipata Kimagumashi (kwa Msaada na Kubebwabebwa) na Rafiki yake Mmoja aliyekuwa Mkufunzi hapo kutokana na Uhalisia wake wa Kuzaliwa na Uhaba wa Akili za Kitaaluma na Upumbavu mwingi unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

5. Kama alidiriki kula Pesa za Michango ya Harusi yake na kupotea kwa muda na kuitumia hiyo Hela kununulia Gari Mbovu (Vitz Nyeusi) ambayo ilimtesa mno hadi Kuiuza kwa Bei ya 'Skrepa' na kuanza kupanda DalaDala ambayo aliapa hatopanda tena unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

6. Kama akina Tido Mhando na Charles Hillary (kabla hajaondoka Azam Media kula Shavu la Rais Mwinyi Zanzibar) ambao walikuwa Mabosi zake wakubwa walimshindwa kutokana na tabia zake nyingi za Utovu wa Nidhamu na Kumuachisha Kazi hapo unadhani ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

7. Kama ana Madeni ya Kutukuka hasa ya kwa Mama Ntilie (kutokana na tabia yake ya Uroho na Kupenda Kula Kula hovyo kama Paka wa Baa) huku Kutwa akiwakimbia Wanaomdai unadhani leo hii ataacha kuwa Mpuuzi hivi?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Mwanahabari kutofuata Misingi, taratibu na Kanuni za Habari (Utangazaji) Ukiwemo.

Hivi Mtangazaji huyu hajui kuwa moja ya Ethics za Mwanahabari (Utangazaji) aufanyao Yeye hairuhusiwi ukiwa Hewani kuonyesha Mapenzi yako / Upendeleo wa Timu fulani?

Hivi kuna Wasikilizaji / Watu wa Michezo nchini hawajui / hatujui kuwa Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro ni Simba SC lia lia na ana Kadi ya Uanachama na pia alishawahi hata kuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC? Je, 'Maestro' akiwa Redioni huwa anaonyesha Mahaba yake / Upendeleo wake kwa Simba SC yake?

Kuna Mtu ambaye hajui kuwa Mpira wa Miguu una Matokeo matatu ya Kushinda, Kufungwa na Kutoka Sare?

Leo hii Mtangazaji wa Redio Kubwa ya EFM unaposema tena hewani kuwa Simba SC haiwezi Kumfunga Al Ahly SC Ijumaa wakati mara Mbili nzima huko nyuma ilishamfunga hapa hapa kwa Mkapa tukuelewaje?

Twalib Othman Muwa ndiyo maana kumbe pamoja na Kuhonga Watu wa Yanga SC na Kuzunguka sana kwa Waganga wa Kienyeji Bagamoyo ili uwe Msemaji wao (wa Yanga SC Kazi ambayo ulikuwa unaitaka kuliko Kitu chochote) bado Uongozi ukakutosa na kuwapa / kuwaamini akina Kamwe na Privaldinho na kuanza kuzunguka hovyo Matawini kuwapiga Majungu mpaka ulipoona Unapuuzwa nao na ukaamua kukubali Matokeo na kuwa Mpole.

Na GENTAMYCINE najua kuwa anayekuharibu Wewe hadi kuwa wa hovyo hivyo Kitasnia (Kiutangazaji) ni Mtangazaji unayempenda kuliko hata Mkeo Maulid Kitenge (mwana Yanga SC lia lia Mwenzako) na ndiyo maana Unamuiga Vitu vingi (Kila Kitu) ila Kuuiga tu Mafanikio yake Kimaisha na kale Kamchezo Kake kanakomshushia Hadhi / Heshima ndiyo umeshindwa.

Huo muda unaoutumia kila Siku Jioni (katika ile Segment) yako ya Habari za Michezo au katika Kipindi cha Michezo cha Jumapili Mchana (unachokuwepo) Kuisema vibaya na Kuichafua Simba SC ungekuwa unautumia Kuwaelezea Watanzania ni Fursa gani / zipi wanaweza Kuzipata kutokana na Ujio wa Shindano hili Jipya la African Football League ( AFL ) ningekuona wa maana ila naendelea kukuona Mnafiki, Mpumbavu na mwenye mwisho mbaya Kitasnia.

Genius wa Kizanaki (Mara) na Kiyao (Mtwara) GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimemaliza.

You are too local young [emoji67]
 
GENTAMYCINE

Kwanini huwezi kuandika mada yako mpaka uhusishe matusi.

Halafu mbona Twalib Muwa ni kama katoa maoni yake tu ambayo ni ya kawaida lakini wewe umeumia mno.

Jitahidi kuwa humble ndugu,matusi hayasaidii chochote,kuna namna ya uwasilishaji wa hoja zako kwa staha bila kudhalilisha maisha binafsi ya mtu.

Najua utanitukana na mimi mtoto wa kiume nawezaje kutype matusi?
Ni ngumu kwangu.
 
Back
Top Bottom