Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

Huyu KIAZI [emoji1648] gentamicine anadhani kuandika matusi ni sifa.
Anadhani kuandika lugha mbovu mbovu ataogopwa.

Mtu anaeweka usmat wa mitusi reja reja kwenye mtandao na huku ni kunguru muoga ukikutana nae.
Naamini leo Jioni ukiingia Kipindini utabadilika. Kjana ( Dogo ) sawa? Nizoee tu Kuwanyoosha Wapuuzi kama Wewe ni desturi yangu.
 

Kwenye Dunia ya sasa kusikiliza Radio pia ni Dalili ya Upungufu WA Akili.

Watangazaji wenyewe akina Mwijaku,
Baba Levo,
JUMA lokole,
Dida shaib,
Adam Mchomvu,
Dk kumbuka.
Hapana Hizo Radio ni ngumu sana kwangu kusikiliza.

Naweza nikawafuatilia WATU wa MAANA kama massoudmassoud, Ambangile, JEMEDARI na mbwaduke lakini si Radioni.

ANAANDIKA

TUKANA UONE

"Ikiwa hutaki tuchangie nenda kaandike sebuleni kwenu ili ndugu zako wakenue meno na kufurahia ujuha wako,lakini kwa hapa jukwaani tu utaula wa chuya!.

Hapa tutakukaanga,tutakupakua na utaliwa utake usitake"

"TUKANA UONE"
 
Kwani Genta huwezi kupiga mtu spana bila kuhusisha mambo ya ushoga?
Yeye ndo shoga mkuu
Anajua maisha ya wanaume kuliko hata wake zao
Popoma ni bwabwa uhakika ninao
Huyu popoma
Anamjua vizuri mkude
Anamjua vizuri morrison
Anamjua vizuri kikeke
Popoma badili mienendo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mtu mwehu,mwendawazimu,zwazwa,limbukeni na Zumbukuku kama wewe!

Nimesoma hili shairi lako lisilokuwa na Mizania ya Vina wala Mizani na kugundua utakuwa na "Brain tumor"

Hili shairi lako la Kishambenga lililojaa usutaji ukimtuhumu Jamaa ndiyo jambo ambalo tumekuwa tukikutuhumu na wewe hapa JF namna ya Uandishi wako wa "Biased" bila kuzingatia mizania ya haki kwa wasomaji na wapenzi wa Yanga!.

Kwahiyo wakisema watu wengine kuhusu Simba wewe unaumia lakini wewe kila siku na kutwa nzima kuizungumzia Yanga kwa mabaya na maneno ya Kishambenga huwa unaona raha!.

Wewe ni Juha,Limbukeni na Mbumbumbu ukiyetukuka!.

Hakuna hata siku moja umeizungumzia Yanga in positive way,kila siku unatoa maneno ya Kishambenga kana kwamba Yanga imewahi kukuchukulia mume!,Leo muandishi kusema kile anachoona kitatokea Uwanjani umeamua kuja mkuku-mkuku kuandika shairi la kishambenga kumsuta mwandishi!.

Ukome na Ukomae kuwa unaitaja taja Yanga na kuwahusisha Waandishi wanatoa maoni yao eti ni mashabiki wa Yanga!.


NB:

Njoo taratibu vinginevyo utaumia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…