Mtangazaji wa EFM Twalib Muwa: Simba SC kuishinda Al Ahly labda ishinde Njaa tu

Watangazaji(sema waganga njaa) wengi wa siku hizi ni ovyo sana. Sijawahi kushuhudia kizazi cha watangazaji viazi kama wa zama hizi.
 
Huyu KIAZI [emoji1648] gentamicine anadhani kuandika matusi ni sifa.
Anadhani kuandika lugha mbovu mbovu ataogopwa.

Mtu anaeweka usmat wa mitusi reja reja kwenye mtandao na huku ni kunguru muoga ukikutana nae.
Hivi kuna mtu anayemwogopa GENTAMYCINE ??

Aahaaaaa

Huyo anayemwogopa atakuwa na mtindio wa ubongo
 
Mpira ni Burudani kuisema Simba au Yanga kwa watani wa Jadi ni kitu cha kawaida sema kwa wale waliokulia kijijini kwao Mpira wa Yanga na Simba umekua vita mtu akisema Yanga anafungwa anaweza kwenda Jela kwa kupigana au kutukana huo ni ushamba wa kiwango cha juu sana....
 
Ha ha haaaa....umepiga kwenye mshono
 
Na tayari ameshatumiwa huu Uzi wangu katika Kundi lao la WhatsApp na nasikia kawa Mpole na GENTAMYCINE namuonya awe Mpole hivyo hivyo kwani niliyoyaelezea hapa ya Kumhusu hata 50% bado hayajafika na mengine nimeyahifadhi.
Piga kwenye utosi gentamycibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…