Mtangazaji wa kike Azam Tv habari za michezo ananikosha sana

Mtangazaji wa kike Azam Tv habari za michezo ananikosha sana

Kuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.
Acha tamaa na wake za watu
 
Sisi madada bhana kasifiwa Fatuma si kwa uzuri bali mtoa maada alijikita katika kumasifia kuwa na kipaji cha utangazaji husasani MICHEZO. Sisi wadada tushaanza ubuyu eti "MBAYA" kwani mleta uzi alimanisha anamtaka kibailogia?? Anyway hata km anamtaka, ubaya umeuona ww yeye mla tunda kaona ndio kivuli pa kupumzikia. "Lets be fair" na tufikiria nje ya JF mfn mme wake akiona post MBAYA effects yake nn.
 
Sisi madada bhana kasifiwa Fatuma si kwa uzuri bali mtoa maada alijikita katika kumasifia kuwa na kipaji cha utangazaji husasani MICHEZO. Sisi wadada tushaanza ubuyu eti "MBAYA" kwani mleta uzi alimanisha anamtaka kibailogia?? Anyway hata km anamtaka, ubaya umeuona ww yeye mla tunda kaona ndio kivuli pa kupumzikia. "Lets be fair" na tufikiria nje ya JF mfn mme wake akiona post MBAYA effects yake nn.
Hapo sasa roho mbaya ni ugonjwa.

Sent from my SM-N910T using JamiiForums mobile app
 
Ana kipaji..mpeni hongera mkimuona live mi naishia kumuona kwenye kioo tu.
 
Kuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.

screenshot_2018-05-08-14-29-09-1-jpg.770090
Mtoto wa kiume unakoshwa?? Haya endelea
 
Roho mbaya haina tiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo roho mbaya kiuhalisia huyu binti siyo mzuri kila idara. [emoji23] [emoji23]
 
Kuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.

screenshot_2018-05-08-14-29-09-1-jpg.770090


Khaaaa, kumbe ni gaidi....mi nilifikiri ni demu wa kawaida?
 
Back
Top Bottom