msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,880
Acha tamaa na wake za watuKuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.
Mleta mada hajaongelea uzuri kaongelea utendaji wake.Mbaya [emoji23] [emoji125] [emoji188] [emoji188] [emoji100]
Hapo sasa roho mbaya ni ugonjwa.Sisi madada bhana kasifiwa Fatuma si kwa uzuri bali mtoa maada alijikita katika kumasifia kuwa na kipaji cha utangazaji husasani MICHEZO. Sisi wadada tushaanza ubuyu eti "MBAYA" kwani mleta uzi alimanisha anamtaka kibailogia?? Anyway hata km anamtaka, ubaya umeuona ww yeye mla tunda kaona ndio kivuli pa kupumzikia. "Lets be fair" na tufikiria nje ya JF mfn mme wake akiona post MBAYA effects yake nn.
Utendaji wake wa kazi ni mbovu na yeye pia ni mbovu. [emoji23] [emoji125] [emoji188] [emoji100]Mleta mada hajaongelea uzuri kaongelea utendaji wake.
Hata hivyo Beauty lies in the eyes of the beholder.
Sent from my SM-N910T using JamiiForums mobile app
Umeolewa!?Mbaya [emoji23] [emoji125] [emoji188] [emoji188] [emoji100]
Maswali gani ya kipuuzi unauliza. [emoji35]Umeolewa!?
Roho mbaya haina tiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utendaji wake wa kazi ni mbovu na yeye pia ni mbovu. [emoji23] [emoji125] [emoji188] [emoji100]
Weka picha yako hapa tuangalie wewe na yeye nani mbayaMbaya [emoji23] [emoji125] [emoji188] [emoji188] [emoji100]
Mtoto wa kiume unakoshwa?? Haya endeleaKuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.
Avatar.Weka picha yako hapa tuangalie wewe na yeye nani mbaya
Huyu ulamaa sijui alimpataje huyu mtotoKuna mpuuzi alisha weka ndani mzingo
Haha [emoji1]CHIK
CHIKAWE-atakuwa mmwera wa Nachingwea wanajua mambo yetu hao hataariiiii
Siyo roho mbaya kiuhalisia huyu binti siyo mzuri kila idara. [emoji23] [emoji23]Roho mbaya haina tiba [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji16][emoji3][emoji16] [emoji115]hii mambo inafanana sana na iliyompata huyu[emoji116]Maswali gani ya kipuuzi unauliza. [emoji35]
Wewe mchochezi [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16] [emoji115]hii mambo inafanana sana na iliyompata huyu[emoji116]View attachment 770324
Wewe ni mchochezi [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji16][emoji3][emoji16] [emoji115]hii mambo inafanana sana na iliyompata huyu[emoji116]View attachment 770324
Kuna huyu 'ukti' mdada anasoma habari za michezo baada ya taarifa ya habari AZAM TWO huyu dada ananikosha sana, anatangaza vizuri sana utangazaji wake naufananisha na ule wa ZUHURA YUNUS wa BBC SWAHILI na hata sauti zao zinafanana. kiukweli anatulia, ana pause, na anajua azungumze kitu gan plus mbwembwe za kimichezo, kwa anayemfahamu amfikishie ujumbe kuwa yuko poa sana na segment hyo ya michezo anaipatia.