Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 3,098
- 5,451
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.
Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.
Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.
Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.
Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.
Acha kabisa kuchezea imani za watu
Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.
Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.
Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.
Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.
Acha kabisa kuchezea imani za watu