Mtangazaji wa Kipindi cha The Story book wasafi TV anatukosea na kuitukana imani ya kikristo

Mtangazaji wa Kipindi cha The Story book wasafi TV anatukosea na kuitukana imani ya kikristo

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
 
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
Shida ni pale unapoambiwa ukweli ambao usingependa kuusikia.
 
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
Huyo huwa anatumwa afanye hivyo, usimshangae...akishatawadha tu anapanda jukwaani kukashifu
 
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
Kumbuka kuna vitabu havipo kwenye biblia kama the book of enoch
 
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
Tatizo biblia yenyewe inajipinga
 
"Hivi Afrika tuna Mtume kweli!?" Alisikika Remy ongala kwenye nyimbo yake
 
Huyu dogo sijui anafanya hvi kwa bahati mbaya au anafanya makusudi ili auchafue ukristo kwa maslahi ya waliomtuma.

Bahati mbaya sana hata jina lake sijakishika vizuri, sijui imani yake.

Lakini bila kujali imai yake nitumie jukwaa hili kwa niaba ya wakristo kwamba hatupendezwi na namna ambavyo anawasimulia manabii, mitume na watumishi walioko katika biblia na kuongezea uongo ambao haupo. Mbaya zaidi anaanza kwa kusema kabisa kwamba biblia imesema hvi na vile. Uongo mtupu.

Sijui hata kama huyu dogo huwa anafanya utafiti, yani anachafua mitume na kuwapaka sifa ambazo hazikuwepo, anazungumzia historia ya madhehebu mbali mbali bila hata kufanya utafiti. Anaichafua imani yetu.

Hatupendi na kama ameamja kuichafua imani makusudi hatutamuacha salama.

Acha kabisa kuchezea imani za watu
Una kichwa cha panzi..Eleza au toa hata mfano mmoja.
Unaleta porojo utafijiri wote tunasikilizaga urojo huo
 
Bila shaka Huwa anatoa rejea za kwenye vitabu, vifuatilie au alafu uone kama muongo
Ni muongo, Jifunze Kingereza utajuwa kuna vitu vingi sana ambavyo huwa anafanya misrepresentations au exaggerations.
 
Back
Top Bottom