watangazaji wa DEUTSCHE WELLE kama
Mohamed Mwadzaya, Umil Kheri, Prima Martin, Saumu
Mwasimba, na Bi Halima
nyanza. Bila kumsahau Mwanamilonge wa BBC
kuwa mzalendo kdg,taja bas wabongo. nyumban ni nyumban aisee!
Marehemu Donati L. Kaishe, wakati huo akitangaza na Radio Tanzania Dar es salaam..habr za mapumziko wadau, hv ni mtangazaji gani wa radio au TV unamkubali (unamu-admire) na ni kwanini???