Mtangazaji wa radio au TV

Mtangazaji wa radio au TV

Efraimu kibonde wa mawingu efu emu.
 
watangazaji wa DEUTSCHE WELLE kama
Mohamed Mwadzaya, Umil Kheri, Prima Martin, Saumu
Mwasimba, na Bi Halima
nyanza. Bila kumsahau Mwanamilonge wa BBC
 
watangazaji wa DEUTSCHE WELLE kama
Mohamed Mwadzaya, Umil Kheri, Prima Martin, Saumu
Mwasimba, na Bi Halima
nyanza. Bila kumsahau Mwanamilonge wa BBC

kuwa mzalendo kdg,taja bas wabongo. nyumban ni nyumban aisee!
 
kuwa mzalendo kdg,taja bas wabongo. nyumban ni nyumban aisee!

usitake kunilazimisha nishabikie vitu vya kijinga wewe. Hata kama hawana ubora we unataka niwataje? Eti sababu wa Tanzania. kwani unataka nimtaje nan? Dj fetty? Au Adam Mchomvu? Au Kibonde? Sema nimtaje nani?
 
habr za mapumziko wadau, hv ni mtangazaji gani wa radio au TV unamkubali (unamu-admire) na ni kwanini???
Marehemu Donati L. Kaishe, wakati huo akitangaza na Radio Tanzania Dar es salaam..
 
CNN- Jonathan Man,mike Foster, Christien Amanpour,Quest means bussiness,Michael Holmes,Beck Anderson & Underson Cooper.

KBC-Lenard Mambo Mbotela na Banard Otieno mtangazaji mahiri wa mpira wa miguu.
 
Back
Top Bottom