Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mungu awape faraja familia yake.Mtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431]
#TANZIA:Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas
@ITVTANZANIA
. R.I.P AGNES ALMASY.
Mtangazaji wa Radio One naITV Agnes Almas afariki dunia. Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya marehemu Mahali Pema Peponi [emoji1431]
#TANZIA:Tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu Agnes Almas
@ITVTANZANIA
. R.I.P AGNES ALMASY.
Usigeuze mada wewe pingapinga Fc, na hawajui nyie kwa kupinga.RIP.......CCM watapinga
Hawa hapa washaanza kuja
Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!Manyumbu yatakuja kusema ni corona
Kiongozi wa manyumbu umeamua kuanza kusema kabla ya nyumbu wenzako. HongeraManyumbu yatakuja kusema ni corona
😂😂😂Subiri tu utaona wanakuja
Mimi wa kwanza kusema hivyo. Juzi na mpaka sasa namuuguza mzee wangu ambaye alirudishwa kutoka Muhimbili baada ya kugundulika kuwa ana Covid 19. Aisee huu ugonjwa inasumbua. Kitu kibaya zaidi kwa huu ugonjwa ni kuwa ukimpata mtu basi yale magonjwa ya sijui kupigwa stroke, Sukari, pumu yanakuja kama mshale! Dah nisiseme sana!
Jamani........[emoji15]......
Kulikoni tena ghafla hivi.......?......
RIP Agnes....
Preta nakusalimia,Jamani........[emoji15]......
Kulikoni tena ghafla hivi.......?......
RIP Agnes....
Endelea kutoa kejeliKwahiyo alikuwa ward moja na mzee wako pale muhimbili
Ndugu yangu ukiangalia channel ipi sasa? Maana na mimi napata shida sana na hizi channel kwakuwae zote zinalinganaPole sana.
Tokea nimeacha kuangalia hiyo super brand siwajui kabisa hao watangazaji.