Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Ulitaka nimuambie nani?Ulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu "sisimizi" na utapeli wake?Habari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa Jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa JF!
Huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka!
Lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali!
Sarah Shirima NI TAPELI NAMBA MOJA!Nilikuwa nawasiliana nae kibiashara enzi hizo nipo USA baada ya kukutana nae Jambo chat!Akaniambia Dar laptops na simu blackberry "ZINATOKA SANA"!Hiyo ilikuwa mwaka 2006!
Nikazileta za kutosha tu nikamkabidhi kwa makubalino kuwa nikirudi Dar toka mapumzikoni KYELA nizikute hela TUGAWANE FAIDA;Hadi leo sijamuona tena na ndiyo nasoma habari hii hapa!
Alikuwa"kanjanja" tu wa utangazaji kwa kuuza habari magazetini!Ni binti mrembo wala huwezi amini kama ni tapeli!ANA TAMAA SANA YA MAISHA MAKUBWA BINTI HUYU!
Nina kila sababu ya kuamini kuwa huyu Gang Chomba ni mtu anayehusika sana na hii biashara ya mihadarati kwa jinsi anavyomtetea huyu binti/mwanamke aliyekamatwa na heroin huko Nairobi!! " Za mwizi arobaini" maana yake ni kwamba mwizi kama mbeba madawa ya kulevya, wote wanafanya vitendo vibaya kwa jamii hivyo 'Za mwizi 40" also applies to these MULES!!
Eti nilikutananae JAMBO CHAT kumbe nyinyi ndo mnakurupukiaga watu tuu?
"Nikikurupukiaga" mtu ndiyo iwe justified ya kutapeli?Putin na ww kama alivyo mwenzako hoja yako ni ya hovyo hovyo iliyoandikwa kihovyo hovyo!
Haijalishi mmekutana vipi kwa mtu fulani kuwa mwaminfu kwako!Uaminifu ni malezi unayopewa na wazazi wako na huyu dada alikosa hayo malezi!Hili dada ni jizi tu na linastahili hapo lilipo sasa!
Jibu swali "Za mwizi 40" Huyo dada Kaiba nini?
Ulitaka nimuambie nani?Ulitaka nianzishe mada hapa kumjadili huyu "sisimizi" na utapeli wake?Habari ya kuibiwa kwangu na dada huyu tapeli anayo aliyekuwa mkurugenzi wa Jambo chat ambaye pia ndiye kiongozi hapa JF!
Huyu dada ni tapeli na ana tamaa sana na itabaki hivyo na yaliyomkuta ni zao la tamaa zake kuacha kufanya kazi halali kujiingiza kwenye kipato cha haraka!
Lugha hiyo uliyoongea mm naijua vyema na kuwa muungwana tafadhali!
Kwenda weweee tapeli mkubwa.
Huyu ni zaidi ya MWIZI;
Afadhali MWIZI athari zake ni za mtu mmoja yule aliyeibiwa na familia yake inayomzunguka!Muuza madawa ya kulevya kwa kiasi kikubwa kama hiki ndiyo yamesababisha TZ na dunia kwa ujumla IKOSE NGUVU KAZI kwa sababu vijana wengi wameathirika na madawa waliyokula toka kwa dada huyu!
Huyu anastahili adhabu kali mno!Ingekuwa kamatiwa Iran angenyongwa!
Wewe Ulivyokurupua Laptop huko Ulaya Hukuwa Unataka Kipato cha haraka?
Acha porojo Jibu swali Kaiba nini?
"Nikikurupukiaga" mtu ndiyo iwe justified ya kutapeli?Putin na ww kama alivyo mwenzako hoja yako ni ya hovyo hovyo iliyoandikwa kihovyo hovyo!
Haijalishi mmekutana vipi kwa mtu fulani kuwa mwaminfu kwako!Uaminifu ni malezi unayopewa na wazazi wako na huyu dada alikosa hayo malezi!Hili dada ni jizi tu na linastahili hapo lilipo sasa!
Kweli wajinga hawaishi wataendelea kuja...... We mtu humjui Ukaenda kumkabidhi mzigo then Ukaenda Kyela kusosomola ndizi Ukirudi Ukute hela?.... Yani iyo ni sawa na Kuweka hela brbrn Ukakandamiza na jiwe zisipeperuke na Upepo alafu Kesho yake urudi unaanza kuuliza wapita njia.
Maelezo yako MAREFUUU lkn bado HAYAJAELEZA wala HAYAJAFAFANUA kuwa:Kwa vile mtu umekutana nae kwenye social networks NDIYO AKUIBIE?Una-justify uwizi kwa sababu tu watu hao walikutana kwenye chat?
Maelezo yako MAREFUUU lkn bado HAYAJAELEZA wala HAYAJAFAFANUA kuwa:Kwa vile mtu umekutana nae kwenye social networks NDIYO AKUIBIE?Una-justify uwizi kwa sababu tu watu hao walikutana kwenye chat?
Wewe Laptop na cm ulitoa wapi km hukuiba? Onyesha risiti ya huo mzigo na Ushuru uliolipia pamoja na Kibali cha kufanyia biashara iyo.....
Kweli wajinga hawaishi wataendelea kuja...... We mtu humjui Ukaenda kumkabidhi mzigo then Ukaenda Kyela kusosomola ndizi Ukirudi Ukute hela?.... Yani iyo ni sawa na Kuweka hela brbrn Ukakandamiza na jiwe zisipeperuke na Upepo alafu Kesho yake urudi unaanza kuuliza wapita njia.
Hana hivo vitu na ndo maana hajathubutu kwenda kushtaki.
Mkurupukaji mkubwa huyo anakuja hapa gagulo linampwaya utasema ana cha maana kumbe uharo mtupu.