Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,833
- 11,173
Hah hah hah hah hah haaaah mkulima huyo hana jipya wacha wamtengeneze
Haijalishi ni mkulima au nini!UTAPELI HAUKUBALIKI na dada huyu kwa tamaa zake sasa yupo mahabusu!Ukiwa tapeli wa vitu vidogo kama hivi baadae utapeda vikubwa zaidi!
UTAPELI HAUKUBALIKI hahahahahaah!