Hah hah hah hah hah haaaah mkulima huyo hana jipya wacha wamtengeneze
Kama alikuibia ulichukua hatua gani?
Au unakuja kulalama tu hapa JF?
Raia wa Tanzania ambae ni mtangazaji wa radio nchini hapa Tanzania aitwae Peter Shirima amenaswa na makachero wa uwanja wa ndege wa jijini Nairobi nchini Kenya akiwa na madawa ya kulevya kiasi cha kilo 5.4 aina ya heroin yenye thamani ya fedha za Kenya shiilingi milioni 13.
Kwa nn huelewi?Siwezi na siji kulalamika kwa kuibiwa na 'sisimizi';ila nimefurahi kwa kukamatwa kwake kwani kumepunguza mtu mmoja uraiani aliyekuwa ANALIANGAMIZA TAIFA!
Saafi sana Kenya!Funga maisha huyu tapeli na wanaopanua midomo yao kumtetea HAWANA HOJA zozote za maana zaidi ya undugu!
Hao wakenya wako hawana jeuri ya kumkamata Sara! Na Sara humjui kumbe Unakurupuka tuu na Hbr za kusikia.
dah bonge la kilaza
Si ndio maana akawa Mtangazaji.....ndo walivyo asilimia 99.5.
Great Thinker mwingine huyu!
Unajua Abdullah Ocalan alikamatiwa wapi?
Kenya walilikamata gaidi la kimataifa lililo iingiza Turkey kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe na kupelekea mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya 40,000;wakashirikiana na serikali ya Turkey kumrudisha nyumbani na kuhukumiwa kifo!Ndiyo washindwe kumkamata huyu "sisimizi"wenu?
Hili jizi na liuzaji la madawa ya kulevya kwa watoto wetu linastahili adhabu kali hata kama kuna watu humu JF wanamtetea hadi makoromeo yanawauma!Sarah huyu wa Sinza ahahahahaha!
Great Thinker mwingine huyu!
Unajua Abdullah Ocalan alikamatiwa wapi?
Kenya walilikamata gaidi la kimataifa lililo iingiza Turkey kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe na kupelekea mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya 40,000;wakashirikiana na serikali ya Turkey kumrudisha nyumbani na kuhukumiwa kifo!Ndiyo washindwe kumkamata huyu "sisimizi"wenu?
Hili jizi na liuzaji la madawa ya kulevya kwa watoto wetu linastahili adhabu kali hata kama kuna watu humu JF wanamtetea hadi makoromeo yanawauma!Sarah huyu wa Sinza ahahahahaha!
Great Thinker mwingine huyu!
Unajua Abdullah Ocalan alikamatiwa wapi?
Kenya walilikamata gaidi la kimataifa lililo iingiza Turkey kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe na kupelekea mauaji ya watu wasio na hatia zaidi ya 40,000;wakashirikiana na serikali ya Turkey kumrudisha nyumbani na kuhukumiwa kifo!Ndiyo washindwe kumkamata huyu "sisimizi"wenu?
Hili jizi na liuzaji la madawa ya kulevya kwa watoto wetu linastahili adhabu kali hata kama kuna watu humu JF wanamtetea hadi makoromeo yanawauma!Sarah huyu wa Sinza ahahahahaha!
We tumekuuliza Laptop Ulitoa wapi Ujajibu hadi
saizi....... Eti nilikuja na Laptop na simu! Kilaptop
kibovu na Kisim chako cha Kichina. Eti IPhone
ukajua utakuja kuwapiga wabongo......
Umepigwa wewe sasa.
Ndo maana Unaambiwa Unakurupuka Huna hata
unalojua Sara we humjui....... Sara yupo town
Waliomkamata Kenya wanamjua wao! Futa povu
hilo Usikurupuke
Acha porojo Jibu swali Kaiba nini?
Tutake ladhi kutuita mules ndimani
We tumekuuliza Laptop Ulitoa wapi Ujajibu hadi
saizi....... Eti nilikuja na Laptop na simu! Kilaptop
kibovu na Kisim chako cha Kichina. Eti IPhone
ukajua utakuja kuwapiga wabongo......
Umepigwa wewe sasa.
Putin, Kwani we unatetea ninii hasaaa! mbona sikuelewi?!
Kaiba kiilchomfanya akamatwe!! Na wewe 40 zako ziko karibu Putin.
ishu ni kuwa kuna wakurupukaji humu wamemuita Sara mwizi.
Then wakaulizwa huyo Sara kaiba nini?
Wakadai eti kakamatwa akiwa na madawa ya kulevya.
Ndio tunahoji je mtu akikamatwa na madawa ya kulevya ni mwizi?
Huna hoja.
Basi hata anaelawiti mtoto mchanga ataitwa Mwizi?
Na ndio maana nikamwambia anijie na data za mwendelezo wa kesi.
Je Sara kapandishwa mahakamani?
Matokeo yake kaenda jipara awahi kitchen party...