hahahahahaha dah mwizi wako malafyale keshakamatwa hehehWewe uliefanya nae biashara ndio shost wako...
Sasa turudi kwenye swali, je ukiambiwa uje na risiti ya hizo Laptop na hiyo simu je utaweza kutuletea?
Sarah Shirima NI TAPELI NAMBA MOJA!Nilikuwa nawasiliana nae kibiashara enzi hizo nipo USA baada ya kukutana nae Jambo chat!Akaniambia Dar laptops na simu blackberry "ZINATOKA SANA"!Hiyo ilikuwa mwaka 2006!
Nikazileta za kutosha tu nikamkabidhi kwa makubalino kuwa nikirudi Dar toka mapumzikoni KYELA nizikute hela TUGAWANE FAIDA;Hadi leo sijamuona tena na ndiyo nasoma habari hii hapa!
Alikuwa"kanjanja" tu wa utangazaji kwa kuuza habari magazetini!Ni binti mrembo wala huwezi amini kama ni tapeli!ANA TAMAA SANA YA MAISHA MAKUBWA BINTI HUYU!
Nalikumbuka hili soo enzi za Jambo chat.. ni kweli ilitokea,demu alikuliza laptops na cells zako.Wasiokuamini hawajui yaliyokutokea mwaka ule. Kumbe kaka ulishaondoka Marekani, ulirudi home nini? Mambo vipi?
hahahahahaha dah mwizi wako malafyale keshakamatwa heheh
Rubaman!Kipindi kile hawa akina Gang Chomba na Putin wala hawajui kama kuna chat kwenye mitandao;Tuna-ifungua jambo chat baadae hii Jamii forum chini ya Mkuu Melo hawa jamaa hawapo hewani!
Mzee alipofariki ikabidi kimila niwe na makazi 2 sasa;Kyela na USA!Mkuu Rubaman za siku nyingi?
Nalikumbuka hili soo enzi za Jambo chat.. ni kweli ilitokea,demu alikuliza laptops na cells zako.Wasiokuamini hawajui yaliyokutokea mwaka ule. Kumbe kaka ulishaondoka Marekani, ulirudi home nini? Mambo vipi?
Ahahahaha shemzigwa:Mungu analipa ubaya hapa hapa duniani!Demu tapeli la kutupwa hili!
Siku utakayokutana nae kitaa ndio utagundua Gang Chomba alisema kitu ambacho ana uhakika nacho.
Nimekwambia nipe muendelezo wa kesi huko Kenya ukoje?
Huna jibu.
Nilikuomba risiti za vitu vyako ulivyoibiwa navyo pia umeshindwa kuniletea, ila unabaki kulalama tu kama binti aliekosa sare ya ngoma...
Pole yake,,,,ila naskia watu wa powder wana mtandao mpana sana watamtoa nyavuni,,,,,,kenya ni afrika tu rushwa iko palepale
binafsi sihitaji kujuwa yalomtokea.
Nachotaka aje nacho hapa ni risiti ya hivyo vitu ambavyo analazimisha kutuaminisha kuwa kaibiwa.
Kama hana risiti navyo basi na wewe ni panja.
Hili jimama zuzu kweli kweli!Nikuletee risiti ww ni nani?Wewe ndiyo jizi mwenyewe au?
nimekuomba risiti unashindwa kuja nazo so na wewe ni mwizi.
Subiri niwaambie wazeee na masisteri.
Kenya wana chuki sana tena kubwa na watanzania, wao wanachokifanya hasa kwenye kuunganisha safari, primary target yao ni watanzania. achilia mbali ukaguzi wa kawaida wa scanner wao wakikuona na kukuhisi kuwa ni mtanzania watakutoa kwenye folen watakukagua na wanaokuja wanakua wamevaa kiraia hasa wanawake. sometime mnaweza kupiga story kwa muda baadaye anakwambia samahani nifuate au mtu mwingine anakuja kukuchukua. Mimi nilishakamatwa mara tatu siku moja maeneno tofauti tofauti hapo Jomo Kenyata just because kila section ninayoeenda nilikua noted easily kuwa na mtanzania. istoshe haiwaingii akilini kwa wao kujua kwamba watanzania wanaweza kusafiri kwa business issues tofauti na wao kama watu wa nchi zingine na wana assumption za kijinga sana- kwamba watanzania woote hawajasoma.
halafu kwa hao wanaojaribu kupitisha madawa jamani mimi binafsi nime- obsevrve security standard za viwanja vingi hasa hapa Africa. Jamani kama una zigo achana kabisa na jomo kenyata kwa sababu wakisha ku-suspect we ni mtanzania lazima wakudabe kwenye kuunganisha flight.
pili jamaa wakikukamata achana na kuongea kitanzania (Kiswahili) sometime utapunguza harrassment zinanzoweza kukukabili. wanajua kukera na kudhalilisha. tena sana. ushauri wa bure na msistizo, kama unazigo ni rahisi kupita London kuliko Jomo Kenyata. halafu jamaa wanaongea kwa kutisha na ugomvi lazima utaanza kunyeshewa mvua na kuishiwa nguvu. we tua zako somalia halafu pita pori kwa pori. hata Johannesburg ni adhali mara mia. kuna siku wale askari waliniambia kwamba siku moja walikamata watanzania watano ndo maana kila mtanzania wanajua dili zake ndo hizo. ukipita viwanja kama Kotoka International Airport na vingine vya huko magharibi mwa Africa utashangaa ulinzi uko loose sana. yaani ujiingize mwenyewe lakini wao wana focus document zako na kimsingi ni kama wanasema acha vijana watoke
Subiri niwaambie wazeee na masisteri.
Kenya wana chuki sana tena kubwa na watanzania, wao wanachokifanya hasa kwenye kuunganisha safari, primary target yao ni watanzania. achilia mbali ukaguzi wa kawaida wa scanner wao wakikuona na kukuhisi kuwa ni mtanzania watakutoa kwenye folen watakukagua na wanaokuja wanakua wamevaa kiraia hasa wanawake. sometime mnaweza kupiga story kwa muda baadaye anakwambia samahani nifuate au mtu mwingine anakuja kukuchukua. Mimi nilishakamatwa mara tatu siku moja maeneno tofauti tofauti hapo Jomo Kenyata just because kila section ninayoeenda nilikua noted easily kuwa na mtanzania. istoshe haiwaingii akilini kwa wao kujua kwamba watanzania wanaweza kusafiri kwa business issues tofauti na wao kama watu wa nchi zingine na wana assumption za kijinga sana- kwamba watanzania woote hawajasoma.
halafu kwa hao wanaojaribu kupitisha madawa jamani mimi binafsi nime- obsevrve security standard za viwanja vingi hasa hapa Africa. Jamani kama una zigo achana kabisa na jomo kenyata kwa sababu wakisha ku-suspect we ni mtanzania lazima wakudabe kwenye kuunganisha flight.
pili jamaa wakikukamata achana na kuongea kitanzania (Kiswahili) sometime utapunguza harrassment zinanzoweza kukukabili. wanajua kukera na kudhalilisha. tena sana. ushauri wa bure na msistizo, kama unazigo ni rahisi kupita London kuliko Jomo Kenyata. halafu jamaa wanaongea kwa kutisha na ugomvi lazima utaanza kunyeshewa mvua na kuishiwa nguvu. we tua zako somalia halafu pita pori kwa pori. hata Johannesburg ni adhali mara mia. kuna siku wale askari waliniambia kwamba siku moja walikamata watanzania watano ndo maana kila mtanzania wanajua dili zake ndo hizo. ukipita viwanja kama Kotoka International Airport na vingine vya huko magharibi mwa Africa utashangaa ulinzi uko loose sana. yaani ujiingize mwenyewe lakini wao wana focus document zako na kimsingi ni kama wanasema acha vijana watoke
Ahahahaha shemzigwa:Mungu analipa ubaya hapa hapa duniani!Demu tapeli la kutupwa hili!
Rubaman!Kipindi kile hawa akina Gang Chomba na Putin wala hawajui kama kuna chat kwenye mitandao;Tuna-ifungua jambo chat baadae hii Jamii forum chini ya Mkuu Melo hawa jamaa hawapo hewani!
Mzee alipofariki ikabidi kimila niwe na makazi 2 sasa;Kyela na USA!Mkuu Rubaman za siku nyingi?
ushuzi kweli wewe...
Tazama joining date yako hapa JF kisha tazama ya kwangu halafu pandisha mgagulo wako huo kisha ukome kuandika mitapishi hapa...
Watu kama wewe na washakunaku wenzako huwa nategemea kuwakuta jukwaa la mapishi, na si katika jukwaa hili.
Kitumbua we...
Huivi mpaka ugeuzwe kisha utobolewe
Well u sayd...
Walimhisi, wakamkagua, wakamkata, lakini mwisho wa siku aliwatoka na sasa yuko zake Dar anakula bata...