Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Angedodosa sifa za kupata ajira ya utangazaji wala asingejisumbua kuuliza.Ni suala la kujua kusoma na kuandika,cheti cha kuonesha ulikaa chuoni kupewa cheti hicho,sauti yenye mvuto na sura inayotazamika unapata kazi.Hapo anaongea yote hayo kuonesha serikali ya CCM inaupiga mwingi.
Huenda hata Hilo ziwa victoria hajawahi lionaLabda kuna mpango wa upanuzi wa ziwa Victoria?Waulizwe.
Mambo yako haya ya TBC 1
Vipepeo wa ajabu hawaHapo anaongea yote hayo kuonesha serikali ya CCM inaupiga mwingi.
Nimewaza jiografia yangu niliyosoma miaka ya sitini imepitwa na wakati, sasa mambo ya IT na smartphone ziwa Victoria limefika mpaka Congo na Zambia na kutawanyika mpaka Sudan.Sudani Kusin > Burundi > Zambia > Congo na Malawi, π€π€π€.
Huwezi jua labda Ramani imebadilika ππ.
Kama tunadanganywa kwenye mamboo ya wazi namna hii vipi huko kwenye mafail maofisiniView attachment 2948865
Sitaki niongee mengi nishasema watanzania wengi hasa kwenye kada ya uandishi wa habari miaka ya 2000+ ni hopeless na vilaza wa kutupwa sijui journalism gani hawajui hata Geography ya Primary na O level.
Kama mnauzinduzi wa MV Mwanza basi vilaza wenu washaropokwa huko.
Endeleeni na vilaza kwenye vyombo vya umma.
Ni hayo tu.
Wadiz.
Na Malawiziwa Victoria limefika mpaka Congo na Zambia na kutawanyika mpaka Sudan.
πSudani Kusin > Burundi > Zambia > Congo na Malawi, π€π€π€.
Huwezi jua labda Ramani imebadilika ππ.