Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi

Status
Not open for further replies.
Uchawa unazidi hadi ameboronga🤣
 
Kwanza nianze kumshukuru Mama Samia kwa kuwezesha Mv victoria kufika sudani kusini
Pili hii habari ipo humu
 
Kwa TBC amejitahidi hata kujua hizo Nchi yupo mwingine jana alikua anamuhoji kocha wa Mamelodi sijui kwa kiingereza cha wapi anajua yeye mpaka kocha anawauliza mara mbili mbili ndio anawaelewa hivyo hivyo na kuwajibu..
 
Mimi sioni tatizo, Jenerari Ulimwengu aliposema kuhusu sekondari ya chuo kikuu cha Dar es Salaam alibezwa lakini watu walisahau kuwa yule waziri Mulugu akiwa kwenye mkutano Afrika Kusini alisema "Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe", kabla ya huo mkutano akiwa Bungeni Sugu aliwahi kusema waziri huyo hana elimu anayodai anayo.
 
Kwanza nimshukuru rais daktar samia suluhu kwa kunipa nafasi .....pia awamu ya sita imefanya maendeleo hadi kwa meli za mchangani zina enda zambia hadi south sudan..... pia wanampango ifike botswana kabla ya uchaguzi 2025.... hayo yote ni maendeleo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…