Kwa hiyo?
Babu sea alikutendea nini?
habari ndo hiyo
Unamkumbuka Babu Seya kwa mvuto wa mtangazaji wa kike? Hongera.
Omba siku ya kutembelea wafungwa umtembelee na ukaburudike naye, sio kuweka posts kama hii
Kwahyo unataka niweke post kama hii "Kilaza wewe"?
Kuna watu wakikosea kutamka unampima na kumsamehe, lakini sikumsamehe huyu mtangazaji aliyetamka swansea nikasikia swanseya. Ndo maana nikasema matamshi yake yalinikumbushia jina la Babu Seya.Kwani kukosea matamshi ni ajabu mfn.neno Swansea inatakiwa lisomwe kama lilivyo kwani huo no mji sasa kuna utofauti gani na wanaosema Swansii(kiingereza swansea)
Hapana mchukiaufisadi.Sio kwamba mvuto wa mtangazaji ulinikumbushia Babu Seya, ila ni matamshi yake ya neno swansea. Alitamka swanseya badala ya swansiiUnamkumbuka Babu Seya kwa mvuto wa mtangazaji wa kike? Hongera.
Omba siku ya kutembelea wafungwa umtembelee na ukaburudike naye, sio kuweka posts kama hii
Mawazo yako umeyapeleka mbali sana WABALLA Inc Tazama post zangu nyingine kwenye thread hii utaelewa nilichomaanisha.Mambo ya :msela: