Mtangazaji wa TV Kaniacha Hoi !

Kama ulimsikiliza vizuri siku hiyo akitangaza alitamka swansea nikasikia swanseya badala ya swansii.

nadhani yalikuwa masikio yako tu yaliyosikia YA.

hata hvyo ni jambo la kawaida coz lugha yetu inaingilia na lugha ya asili.. Na ndyo maana ukienda kwa wamakonde wanaweka N badala ya M

nadhan si kitu cha ajabu
 
linavyotamkwa hilo kwa sisi tunaofuatilia mpira wa miguu yaani kandanda ni SWAN-ZII umeelewa wewe SHIEKA WA MZUMBE
 
Last edited by a moderator:
linavyotamkwa hilo kwa sisi tunaofuatilia mpira wa miguu yaani kandanda ni SWAN-ZII umeelewa wewe SHIEKA WA MZUMBE

Ushamba huo.. Mdada wa watu katamka kwa kiswahili... Mana ni jina la mji..... Swansea.....
 
Last edited by a moderator:
linavyotamkwa hilo kwa sisi tunaofuatilia mpira wa miguu yaani kandanda ni SWAN-ZII umeelewa wewe SHIEKA WA MZUMBE
Kwa matamshi ya swansea uko sawa kabisa donniebrasco. Ila umekosea sana kusema kwamba mimi SHIEKA ni wa Mzumbe.Una maana gani kunihusisha na Mzumbe? Mimi ni wa Naibili wilayani Siha mkoa wa Kilimanjaro.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…