TANZIA Mtangazaji wa Wasafi Media (Fatma Abdallah)afariki dunia

TANZIA Mtangazaji wa Wasafi Media (Fatma Abdallah)afariki dunia

Precede behind you[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Huyu binti nini kilimsibu? Kiswahili swahili tunaweza kuhusisha na vitu vya ajabu
 
Huyu binti nini kilimsibu? Kiswahili swahili tunaweza kuhusisha na vitu vya ajabu

Mleta mada anasema marehemu aliugua kwa wiki mbili

Usihusishe uswahili....husisha imani ya kwamba marehemu alikuwa binadamu,akaugua,akafariki
 
Mleta mada anasema marehemu aliugua kwa wiki mbili

Usihusishe uswahili....husisha imani ya kwamba marehemu alikuwa binadamu,akaugua,akafariki
Unaweza kusoma tena comment yangu na hakika utanielewa!

"Chini hata juu watu anawainua, sifa na utukufu ni zake"
 
kul nafsin zaikatul maut ,bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe...Poleni ndugu,jamaa na marafiki.
 
Hivi hawa pamoja na kufiwa bado wakaendelea na ile party ya jana kama hajadondoka mtangazaji wao? Utafikiri ni msiba wa media nyingine? Angeondoka wale watangazaji wao pendwa wangefanya hivi? Kwahili wamesikitisha sana, wangemsindikiza mwenzao then hata wiki inayofata waendelee!

Hii media inazidi kuingia vibaya kwenye hii industry, imagine huu msiba ungekuwa clouds! Huwezi kufanya wafanyakazi wajione familia namna hii hata kama unalipa vizuri.

Clouds imedumu sababu ya undugu uliojengwa muda mrefu ambao itachukua miaka mingi kubomoka lakini hawa hawana hiyo spirit toka hatua hizi za awali.

Pole kwa msiba ndugu na familia za huyo mtangazaji.
 
Hivi hawa pamoja na kufiwa bado wakaendelea na ile party ya jana kama hajadondoka mtangazaji wao? Utafikiri ni msiba wa media nyingine? Angeondoka wale watangazaji wao pendwa wangefanya hivi? Kwahili wamesikitisha sana, wangemsindikiza mwenzao then hata wiki inayofata waendelee!

Hii media inazidi kuingia vibaya kwenye hii industry, imagine huu msiba ungekuwa clouds! Huwezi kufanya wafanyakazi wajione familia namna hii hata kama unalipa vizuri.

Clouds imedumu sababu ya undugu uliojengwa muda mrefu ambao itachukua miaka mingi kubomoka lakini hawa hawana hiyo spirit toka hatua hizi za awali.

Pole kwa msiba ndugu na familia za huyo mtangazaji.
Noted.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Apumzike kwa Amani Fatuma Abdalah.
 
WCB wameshamtoa kafara hao, ili waanze kusikika mikoani zaidi ya radio free africa
 
Wanaosema ni kafara wakati ni vifo viwili tu. Je upande wa pili wa shilingi wamekufa wangapi
 
Back
Top Bottom