Mtangazaji Zamaradi Mketema hongera sasa kwa Kunenepa!

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimekuwa siku hizi nikivutiwa mno kila nimwonapo Mtangazaji mahiri na mwenye mvuto wa aina yake na uliotukuka kabisa Zamaradi Mketema akiwa ana mwili ulioshiba na ulionenepa vizuri kiasi kwamba hadi Urembo wake unazidi kuongezeka.

Heko Kwako Zamaradi na Mumeo anayejua Kukulea sasa.

Umenenepa mno Dada hebu angalia usizidi hapo tafadhali.

Nawasilisha.
 
Naona umeamua kuja kumsifia mke wa boss apa Jamii Forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…