Unataka nn wwMkuu hebu tudadavulieni mbona mnaquotiana kimafumbo.
-Ndumilakuwili-
Mmmh hilo sina hakika nalo. Heshima kidogo Mkuu kha!Walikuwa wanaogombea Ubooo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji173]Mmmh hilo sina hakika nalo. Heshima kidogo Mkuu kha!
Naona unajaribu kukimbia kesi[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmh hilo sina hakika nalo. Heshima kidogo Mkuu kha!
Ndiyo huyo huyo,inasemekana walikuwa wana fight kuwa na Boss.Sasa nadhani kikaamua kumletea mizinguo dada wa watuHuyu si ndiyo yule mwenye bifu na Dina Marios (nam admire huyu dada sana nikiangalia na historia ya maisha alikotoka kupoteza mama etc) anyways nisichnganye mambo... ni huyu au nakosea? Kwani Ruge amemuwowa au come to stay in action!?
Skeleton/kanenepa??? Huwezi jua!Hivi Ruge sijui kakapendea nini, Skeleton tupu.
Weeee...kitanda usicholalia hujui kunguni wake.Hivi Ruge sijui kakapendea nini, Skeleton tupu.
Ruge kaamua kuacha mbegu na THT tena? Mweh!Hamna lolote, sasa why Ruge kazaa na kale kashichana ka THT ? Limbwata la kinyarwanda linafanya kazi.
Tz Eleven(11)Mungu kamnyima usafiri namba 11!