GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ko leo tungeshuhudia score board ni 2 - 0Kwanza hizo unbeaten zenyewe za bahasha,game ya leo na ihefu goli la utopolo ni offside
Japokua ulinisababishia ban ila kwa leo,huu ndio uzi bora kuliko zoote kula like.Yaani kama Simba SC na Argentina zinafungwa tena zikiwa na Nyota wao akina Chama na Messi Wewe Yanga SC ni Nani Usifungwe? Kudadadeki.
Wana Yanga SC Wote mlioko hapa JamiiForums jiandae Kunichukia GENTAMYCINE kuanzia sasa (leo) na tukutane hapa hapa baadae Saa 4 Kamili Usiku.
Unatia huruma kwa huku kujifariji mkuuTumempandisha IHefu tawi letu Ili ashishuke daraja mpaka Sasa yupo nafasi ya 13..
ihefuPopoma aliyetukuka
Idiot.Utakula ban kabla ya saa nne
Kwa Upumbavu wao Waliamini hivyo.Hv walikuwa wanaamini kweli hawatakuja kufungwa??[emoji848]