Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
tumezoea kwa miaka michache iliyopita mfululizo uwepo wa mpambano mkali kati ya watani wa jadi SIMBA V YANGA.., unaodhamiwa na bia ya Kilimanjaro.
Lakini kwa mwaka huu kumekuwa kimya amna ata dalili za uwepo wa mtani jembe! vipi wadau wakuu wako wap mbona awatoi tarifa?
bora irejeshwe tucheze na azam! yanga watatimua kocha tena
bora irejeshwe tucheze na azam! yanga watatimua kocha tena
Kwa miaka miwili iliyopita Simba alikuwa Mtani Jembe. Mwaka huu hakuna haja ya kucheza tena maana Yanga ndiye Mtani Jembe.
Anayebisha aende akawaambie TBL waipange hiyo mechi muda wowote ili tuoneshe ubora wetu.
tumezoea kwa miaka michache iliyopita mfululizo uwepo wa mpambano mkali kati ya watani wa jadi SIMBA V YANGA.., unaodhamiwa na bia ya Kilimanjaro.
Lakini kwa mwaka huu kumekuwa kimya amna ata dalili za uwepo wa mtani jembe! vipi wadau wakuu wako wap mbona awatoi tarifa?