Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
tumezoea kwa miaka michache iliyopita mfululizo uwepo wa mpambano mkali kati ya watani wa jadi SIMBA V YANGA.., unaodhamiwa na bia ya Kilimanjaro.
Lakini kwa mwaka huu kumekuwa kimya amna ata dalili za uwepo wa mtani jembe! vipi wadau wakuu wako wap mbona awatoi tarifa?
Lakini kwa mwaka huu kumekuwa kimya amna ata dalili za uwepo wa mtani jembe! vipi wadau wakuu wako wap mbona awatoi tarifa?