Mtani kanitumia zawadi kati ya walizopewa na JF lakini nahisi nimepigwa

Mtani kanitumia zawadi kati ya walizopewa na JF lakini nahisi nimepigwa

Zawadi nimepokea na aibu nimepokea pia lakini sio sawa, wao walipewa mamilioni mimi zawadi ya yeboyebo sasa nina sababu gani kua mtani?

Ningekushauli kitu ila naogopa ninyi ni watani bana[emoji3] nicje nikaamka kesho nikakuta uzi hum ndani mnaniponda tayli mkiwa mmepatana
 
Dah! Af wanajishaua kumbe ni jezi wamepewa 🤣🤣

Huyo aliyewakabidhi hizo jezi ilitakiwa mumbutue hadi mkalazwe polisi maana sio kwa dharau hizo.
 
G kwenye moja na mbili
Ngoja aje ajitukane
 
Back
Top Bottom