sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;
1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.
2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.
3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.
4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.
5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.
6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!
Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.
Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".
1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.
2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.
3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.
4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.
5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.
6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!
Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.
Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".