Mtani unauona lakini usajili unaofanywa Simba SC?

Mtani unauona lakini usajili unaofanywa Simba SC?

Yupi anafaa kuwepo sasa? Make simba inahitaji wachezaji wenye umri mkubwa wa kuwasidia vijana.

Mapunda,Okwi,Owino hawa ni chipukizi.Tatizo kubwa la Simba ni uongozi hao kina Hans Pope na Kaburu ndio wanaharibu timu.Tabia ya kufukuza makocha,kupanga timu na kusajili wachezaji wabovu
 
Yupi anafaa kuwepo sasa? Make simba inahitaji wachezaji wenye umri mkubwa wa kuwasidia vijana.

tunaenda msimu wa 4 sasa, bado hao vijana hawajakua tuu??.
 
Mgosi?,sioni umuhimu wake kiukweli,kuna vijana wengi wazuri wangepewa nafasi siyo huyu zilipendwa..
 
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;

1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.

2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.

3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.

4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.

5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.

6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!

Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.

Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".

Sina cha kusifia hapo, huu usajili hautatuletea ubingwa. I love Simba
 
Hivi huu usajili ni mapendekezo ya nani? Maana timu yetu haina kocha hadi muda huu na kuna uhakika gani kocha anaekuja hawa ndo aina ya wachezaji anao wataka?
 
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;

1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.

2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.

3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.

4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.

5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.

6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!

Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.

Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".

Kusifia timu yetu kwa sasa inabidi ujitoe ufahamu kwanza. Timu ya msimu uliopita ilikuwa nzuri lakini sijui ilikumbwa na mini mpaka ikawa na safe kibao. Hakuna mechi iliyoniuma kama ile ya prison walivyosawazisha dakika ya 90, hata na ile ya mbeya city, tulipewa penati lakini tukakosa.

Kwa mtindo huo was kusajili kila mwaka wachezaji zaidi ya watano ni kuendelea kuivutuga timu.

Tatizo lingine la wachezaji wetu wakiwa timu zingine watajitahidi kuifunga Simba lakini wakienda Simba inakuwa ni full majanga.
 
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;

1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.

2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.

3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.

4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.

5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.

6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!

Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.

Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".

Rekodi huwa zinadanganya et.

Serunkuma
 
Hongereni kwa kujadili matatizo ya timu yenu maana tulizoea kutwa kucha..yanga..yanga,naona mmekuwa sasa
 
Zifuatazo ni silaha zilizotua Msimbazi;

1. Peter Mwalyanzi
Kiungo fundi toka Mbeya City, shughuli yake Kaseke anaifahamu, mana alimsihi sana wasiende timu moja kwa kuwa benchi lingemhusu.

2. Mohamed Fakhi
Beki katili toka JKT Ruvu. Shughuli yake kina Tambwe, Kipre, Msuva, Maguli wanaijua.

3. Samir Nuhu
Alikua beki tegemeo Azam msimu wa 2013/14 na aliondolewa kwa fitina za kina Ongala. Sasa shughuli anaileta Simba SC.

4. Mohamed Abraham
Huyu alikua kipa tegemeo JKU na timu ya taifa ya Zanzibar. Sasa anakuja kuwachalenji makipa bora kabisa nchini Ivo na 'mwanaye' Manyika.

5. Musa Hassan "Magoli" Mgosi
Huyu ni kiboko ya timu za Dar. Maana msimu uliopita alizifunga zote.

6. Mavugo
Huyu ni mshambuliaji hatari sana toka Burundi anachezea Vitalo, muda si mrefu atasaini. Msimu uliopita alifunga goli 29 katka mechi 29. Rekodi hazidanganyi!


Ikumbukwe tumepandsha wachezaji 3 toka Simba B, na usajili bado unaendelea.

Ama kweli "SIMBA HII NI BAB'KUBWA".


Mkuu, hapo number 6 angalia mfano wa Sserenkuma. Record hizo hufuata mazingira halisi. Bongo anaweza kutoka kapa.
 
Back
Top Bottom