Mtani wangu LoyalTzCitizen

Mtani wangu LoyalTzCitizen

St. Paka Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2010
Posts
7,956
Reaction score
5,149
Hapa anakwenda kuongezea gesi na usafiri wake wa karne ya 21.

funny-african-motorcycle.jpg
 
pona nini paka........?.......solola bien na invii akuhelp......no photo
 
e e e e e...wewe......hivi ni nini lakini.......kwa nini unifanyie hivyo?

hehehe waswahili waliniloga bana! najaribu kurejesha ka memori , hivi si haka kaJF kalikuwa na chatrum au?
 
hehehe waswahili waliniloga bana! najaribu kurejesha ka memori , hivi si haka kaJF kalikuwa na chatrum au?

kalikuwepo....invii akaona watu wanafanya tabia mbaya akakatoa.....he he.....hivi kwa nini walikuloga.....watu bana
 
kalikuwepo....invii akaona watu wanafanya tabia mbaya akakatoa.....he he.....hivi kwa nini walikuloga.....watu bana

dah invi bana! itakuwa kuna jamaa katumia chatrum kuiba mali za invi ,hehehe waliniloga kwasababu naquote ma post yako, waswahili mawivu kichizi.

posted via simu ya kuazima.
 
Mtani wako kagoma kutokea ha ha ha
 
Mtani! nimefufuka mazee! unisamehe nilikua nyumbii hii bombi hii! hukuniona!??
 
umenichanganya lol
ngoja nika nunue miwani ya kusomea...
 
Back
Top Bottom