Mtani wangu LoyalTzCitizen

Mtani wangu LoyalTzCitizen

mmmhh nilitegemea kuona ur handsome face leo...
nikakuta hakuna kitu.....

nilizani PM ameweza kuuvuta mkono nakuonyesha sura yako....


Lol!Aaah! Paka ananichokoza naona! sasa hata picha hajaweka!:angry:
 
Lol!Aaah! Paka ananichokoza naona! sasa hata picha hajaweka!:angry:





Mtani unasahau kuwa ulikataa kutoka kwenye picha kama kakakuona wenu bahati nzuri wakati naondoka nikakutana na shemeji anatoka mashineni kusaga unga wa kutengenezea pombe na vidumu keshatayarisha.
 
HEE!!!!!! Na shemeji naye kagoma kutokea basi naacha nimekubali watani mmenizidi uchawi.
 
Picha inaonekana kwa wana CCM tu, ukiwa chama kingine huoni kitu!
 
Back
Top Bottom