Nini tena mpenzi Afro??
mmmhh nilitegemea kuona ur handsome face leo...
nikakuta hakuna kitu.....
nilizani PM ameweza kuuvuta mkono nakuonyesha sura yako....
Lol!Aaah! Paka ananichokoza naona! sasa hata picha hajaweka!:angry:
Picha inaonekana kwa wana CCM tu, ukiwa chama kingine huoni kitu!