Mtani wangu Mwigulu Nchemba tafadhali naomba uniazime hata kwa muda tu Mganga wako niwaazime Simba SC kwani anajua mno

Mtani wangu Mwigulu Nchemba tafadhali naomba uniazime hata kwa muda tu Mganga wako niwaazime Simba SC kwani anajua mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama Mama hakuoni pamoja na Kelele zote juu yako na bado uko tu naamini hata Simba SC yangu hii ambayo kwa sasa ikiwa kwa Farao Misri huku ikiogopa Kuthubutu kucheza Mechi ya Kirafiki ya maana kama Wanaojitambua nini wanafanya Yanga SC waliocheza yao majuzi kwa Mkaburu South Afrika ikimtumia inaweza kuwa na Mafanikio ya Kiulinzi wa Mganga pengine unayemtumia na hata mwaka / msimu huu kuwa Bingwa japo Kiufundi kwa sasa GENTAMYCINE Mimi hilo silioni.

Ila Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba Wewe ni Kiboko. Yaani Mama kila akibadili tu Wewe wala hakuoni.
 
Mwigulu na chalamila waganga wao sio wa kawaida... watumiwe na taifa ktk baadhi ya mambo aisee..
Kigogo media haijawahi mchafua sa 💯 japo Huwa inafanya ukosoaji partial na ndio imetumika kuwakandamiza hao waliotumbuliwa.

Ukifuatilia sana inahusishwa na bwana mvaa skafu za kizalendo so Huwa anastahiwa.

My Take: Kwa nini Mwigulu mnamchukia sana hasa Wapinzani?
 
Kigogo media haijawahi mchafua sa 💯 japo Huwa inafanya ukosoaji partial na ndio imetumika kuwakandamiza hao waliotumbuliwa.

Ukifuatilia sana inahusishwa na bwana mvaa skafu za kizalendo so Huwa anastahiwa.

My Take: Kwa nini Mwigulu mnamchukia sana hasa Wapinzani?
Hata chalamila anauwezo(prowess) kuliko mwigulu! Hapa wakumshangaa in mwigulu mbona hatumbuliwi....
 
Kama Mama hakuoni pamoja na Kelele zote juu yako na bado uko tu naamini hata Simba SC yangu hii ambayo kwa sasa ikiwa kwa Farao Misri huku ikiogopa Kuthubutu kucheza Mechi ya Kirafiki ya maana kama Wanaojitambua nini wanafanya Yanga SC waliocheza yao majuzi kwa Mkaburu South Afrika ikimtumia inaweza kuwa na Mafanikio ya Kiulinzi wa Mganga pengine unayemtumia na hata mwaka / msimu huu kuwa Bingwa japo Kiufundi kwa sasa GENTAMYCINE Mimi hilo silioni.

Ila Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba Wewe ni Kiboko. Yaani Mama kila akibadili tu Wewe wala hakuoni.
Wapo DODOMA kawapangia hoteli, kutoka GABON
 
Kama Mama hakuoni pamoja na Kelele zote juu yako na bado uko tu naamini hata Simba SC yangu hii ambayo kwa sasa ikiwa kwa Farao Misri huku ikiogopa Kuthubutu kucheza Mechi ya Kirafiki ya maana kama Wanaojitambua nini wanafanya Yanga SC waliocheza yao majuzi kwa Mkaburu South Afrika ikimtumia inaweza kuwa na Mafanikio ya Kiulinzi wa Mganga pengine unayemtumia na hata mwaka / msimu huu kuwa Bingwa japo Kiufundi kwa sasa GENTAMYCINE Mimi hilo silioni.

Ila Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba Wewe ni Kiboko. Yaani Mama kila akibadili tu Wewe wala hakuoni.
rafiki mwigulu ni mtendaji bora sana kazini ni myu ambae finance inaiweza vizuri
 
🤣🤣🤣🤣🤣Yani leo madilu akiingia humu akikuta mada kama hizi ndo anawaona nyie ni wasaga sumu ...anaishia kusema ohoooo huyu nae Genta si angekausha mpaka anitaje maana kunitaja taja maza anaweza akachezesha mkeka mda wowote.Mwacheni madilu ana hali mbaya sana kaponea kwa mganga mwenye chuchu moja🤣🤣🤣
 
Yani huyu jamaa na mkewe huwa najiuliza Sana sababu Wana waganga kisha Wana Nabii wao Kule makongo juu na gari wamenunulia sasa sijui huwa wanaamini Mungu au Kule maeneo yetu
 
Kigogo media haijawahi mchafua sa 💯 japo Huwa inafanya ukosoaji partial na ndio imetumika kuwakandamiza hao waliotumbuliwa.

Ukifuatilia sana inahusishwa na bwana mvaa skafu za kizalendo so Huwa anastahiwa.

My Take: Kwa nini Mwigulu mnamchukia sana hasa Wapinzani?
Hamna mpinzani anamchukia mwigulu.
 
Yani huyu jamaa na mkewe huwa najiuliza Sana sababu Wana waganga kisha Wana Nabii wao Kule makongo juu na gari wamenunulia sasa sijui huwa wanaamini Mungu au Kule maeneo yetu
Syncretism.
 
Kama Mama hakuoni pamoja na Kelele zote juu yako na bado uko tu naamini hata Simba SC yangu hii ambayo kwa sasa ikiwa kwa Farao Misri huku ikiogopa Kuthubutu kucheza Mechi ya Kirafiki ya maana kama Wanaojitambua nini wanafanya Yanga SC waliocheza yao majuzi kwa Mkaburu South Afrika ikimtumia inaweza kuwa na Mafanikio ya Kiulinzi wa Mganga pengine unayemtumia na hata mwaka / msimu huu kuwa Bingwa japo Kiufundi kwa sasa GENTAMYCINE Mimi hilo silioni.

Ila Mtani wangu wa Kinyiramba Mwigulu Nchemba Wewe ni Kiboko. Yaani Mama kila akibadili tu Wewe wala hakuoni.
Msenge anaroga kinyama. Ila siku yake ipo
 
Back
Top Bottom