Mtanie wa juu yako

Nackia ww ni mweuc mpaka ukibeba mtoto mchana anacnzia anajua Giza limeingia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
We ni mweusi hadi ukisalimiana na watu unaawaachia rangi nyeusi
 
Nackia ww ni mweuc mpaka ukibeba mtoto mchana anacnzia anajua Giza limeingia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
We ni mweusi hadi ukisalimiana na watu unaawaachia rangi nyeusi
 
Vimakalio kama fungu LA bamia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…