Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasura kama chupi ya mchepuko wakoHuku tuki reflesh mind na pilikapilika za kusaka tonge tupumzike kwa kutaniana kdgo
MTANIE WA JUU YAKO ADI AOMBE POO!! [emoji44]
Nasikia umekomaa had ukitema mate yanadunda kama mpiraEti nasikia mtaani kwenu unajinadi kua ww ni mtt wa mwisho wa lemi ongala
Wanuka kubwiru kama mfuko wa spanaMlivyo weusi!! Siwaoni....labda kesho....
angalia ulvyo kama umeokotwaWanuka kubwiru kama mfuko wa spana
Mcheki, kifua kama lango la mahabusumwangalie mgongo ka wanaume wa dar
HahaaaaaaaMcheki, kifua kama lango la mahabusu
Muangalie kichwa kama jiwe la kunolea visuMcheki, kifua kama lango la mahabusu
Mcheki, kichwa kama tufeMuangalie kichwa kama jiwe la kunolea visu
Mcheki pua yake kama kona ya sambusaMcheki, kichwa kama tufe
[emoji23] [emoji6]Mcheki pua yake kama kona ya sambusa
Mcheki sura yake ilivyokomaa kama goti la kilema[emoji23] [emoji6]
Hahaha, muoneMcheki sura yake ilivyokomaa kama goti la kilema
ukicheka mashavu yanatetemeka kama mawimbi ya uji.Hahaha, muone