TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

TANZIA Mtanzania Abraham Mgowano aliyeajiriwa na Google afariki dunia kwa kuanguka kwenye Boti na kuzama

Viongozi wetu wajifunze kuboresha maslahi ya wataalamu.

Imagine Jamaa ameacha kufanya kazi kwenye Nchi yake akaenda Ughaibuni

Prof Benno Ndulu alikuwa anapiga kazi US

Anna Tibaijuka alikuwa anafanya kazi US

William Mgimwa naye hivyo hivyo

Prof Sospeter Muhongo alikuwa US


Hii inaonesha kama Nchi tumeshindwa kuwatumia Vizuri Wataalamu wetu na kuwapa thamani inayostahili 🙌

Rest in peace Champ 😭
 
Stori yake ni sawa na ile ya mwanariadha wa Kenya Kelvin Kiptum Cheruiyot aliyefariki kwenye ajali ya gari, Very young kabla hajafaidi matunda ya kazi yake...

Graveyard is full of unaccomplished dreams...
Huyo Kiptum ni accidental death kwa sababu alikuwa ana drive mwenyewe akiwa na trainer wake na wote walikufa on the sport.
 
Viongozi wetu wajifunze kuboresha maslahi ya wataalamu.

Imagine Jamaa ameacha kufanya kazi kwenye Nchi yake akaenda Ughaibuni

Prof Benno Ndulu alikuwa anapiga kazi US

Anna Tibaijuka alikuwa anafanya kazi US

William Mgimwa naye hivyo hivyo

Prof Sospeter Muhongo alikuwa US


Hii inaonesha kama Nchi tumeshindwa kuwatumia Vizuri Wataalamu wetu na kuwapa thamani inayostahili 🙌

Rest in peace Champ 😭
Yani uache kufanya kazi USA kwenye utaalamu uje kufanya kazi Tanzania iliyojaa siasa na janja janja kila sekta..

Sio hao tu kuna yule Benjamin Fernandes mwanzilishi wa NALA alikataa kuweka makao makuu ya kampuni yake Tanzania akaamua bora aende Nairobi Kenya.
 
View attachment 2918748
View attachment 2918751
MAREKANI: Mwili wa Mtanzania Abraham Mgowano aliyekuwa akiishi na kufanya kazi katika Kampuni ya Google kama Mhandisi wa Programu Endeshi (Software Engineer) umepatikana ukielea katika Mto Miami jijini Florida baada ya kuanguka kwenye 'Boti'.
View attachment 2918766
Abraham aliripotiwa kupata ajali Februari 24, 2024 akiwa na wenzake 12 pamoja na Kapteni wa Boti hiyo. Polisi walianza kumtafuta kwa kutumia Boti nyingine na Helikopta bila mafanikio hadi walipopata taarifa za kupatikana kwa mwili huo ukielea Februari 27, 2024.

Kwa mujibu wa taarifa, Abraham alikuwa Mfanyakazi wa Google kwa miaka 9 baada ya kuwa mmoja wa Wanafunzi bora kutoka Chuo Kikuu cha Stanford. Baadaye aliajiriwa kama Mshauri wa Masuala ya Kompyuta chuoni hapo kwa mwaka mmoja.

Aidha, Mtanzania huyo alikuwa kati ya Wanafunzi Bora 12 waliofaulu vizuri Mtihani wa Kidato cha 4 mwaka 2007 ambapo walipata nafasi ya kukutana na kupongezwa na Rais Jakaya Kikwete.

========

The body of a California man who fell from a chartered yacht making its way up the Miami River over the weekend was found floating in the water Tuesday, according to police.

Abraham Mgowano, 35, had been missing since falling from the 44-foot Sea Ray cabin cruiser around 2:30 p.m. Saturday as it headed westbound on the river near Lummus Park.

While confirming the Berkeley, California native’s body had been found, police with the Florida Fish and Wildlife Conservation, the lead agency investigating the case, did not release details about where Mgowano’s corpse was discovered nor who found him.

The 12 other people on the boat told investigators they saw him go overboard and never resurface, according to the initial incident report released by the FWC.

The report states the boat operator, Eddy Espinosa Hernandez, 39, was a captain hired by the passengers. He could not be reached for comment. Police noted in their report that he “showed no signs of impairment.”

The Coast Guard suspended its search for Mgowano around 8:15 p.m. Saturday after finding no signs of him.

The hunt on the river spanned from the Flagler Street and 7th Avenue bridges, as well as the nearby coastline, said Petty Officer 2nd Class Diana Sherbs, a Coast Guard spokeswoman.

Fish and Wildlife officers and officers with the city of Miami and Miami-Dade County continued their search this week.

“Our thoughts are with Mr. Mgowano’s friends and family during this difficult time,” the FWC said in a statement. “This is an active investigation.”

CBS NEWS
kiukwel imeniuma sana mtyu unapambana unasoma mdaa wakula matunda mungu anakuita mapema dah Sipati picha walio kuwa wanategemea mchango wake jmn
 
Back
Top Bottom