Fumadilu KalimanzilaNilistaajabu siku moja nilihudhuria mahafali ya hizi EM schools nikaambiwa kuwa kwa mwaka wazazi wanalipa zaidi ya 4M kwa ajili ya ada mbali na michango mbalimbali inapita hadi 5M.Hii ni ada ya mwanafunzi wa sekondari tu.
Shule ina zaidi ya wanafunzi 2000 ...nikajisemea kimoyomoyo..dah laiti kama wangekuwa wanajua kuwa wanapigwa pesa kizembe wasingeleta watoto ktk hii shule. Watoto wakihitimu form 6 wanakwenda kujazana katika vyuo vya kata badala ya kwenda kusoma nje ya nchi.
Sahihi mtoto ana Haki zote Tena the best sababu hakumwandikia barua mzazi kuwa amzaeEnglish Medium ni Muhimu kwa wanangu, naplay part yangu na wao wakikua wataplay part yao, wasipo play it's all fine
Alie kwambia nani mtoto akisoma Kayumba maisha yatakuja kumtesa baadae? Where did u get this notion?Sahihi mtoto ana Haki zote Tena the best sababu hakumwandikia barua mzazi kuwa amzae
Mleta mada anafanya eti kumpa kiwango Cha chini kuwa ohh usijitese ili asome shule ambazo baadaye Maisha yatamtesa huyo mtoto.Sasa alimzaa wa Nini ili mtoto ateseke baadaye? Alivyoligema mleta mada anatakiwa alinywe
Mtoto hakuuandika kuwa amzae yeye na ukware wake na mkewe na nyege zao wanazaa halafu anakuja kusumbua mtoto Nasema nasimama na mtoto apelekwe shule Bure English Medium atakayosoma Kwa Raha zote. Kama mzazi kupata Hela atateseka atajijua mtoto hakumwandikia barua ya maombi kuwa amzae
Vinginevyo wasingemzaa huyo mwanaume angeenda upadri na mkewe usista wa kanisa katoloki ili asizaliwe
Maisha ya mtoto sio sawa na tiketi ya bahati nasibu.Usigeuze mtoto kuwa tiketi ya bahati nasibu kuwa yawekana akatoka Kwa bahati nasibuAlie kwambia nani mtoto akisoma Kayumba maisha yatakuja kumtesa baadae? Where did u get this notion?
Sio kweli heri mtoto akariri kingereza kuliko kiswahili shuleniTunauziwa kingereza kwa mamilioni ya pesa alafu ujuzi kidogo sana.
Kama umekusudia kumpa mwanao elimu ya tofauti msomeshe international schools. Hizi nyingine unauziwa kingereza tu hakuna cha ziada.
Maisha ya mtoto sio sawa na tiketi ya bahati nasibu.Usogeuze mtoto kuwa tiketi ya bahati nasibu kuwa yawekana akatoka Kwa bahati nasibu
Hizi shule zetu za kingereza nikwajili ya kufanya vizuri tu mitihani ya hapa kwetu. Hakuna cha ziada.Sio kweli
Ur the true son of your fatherTunauziwa kingereza kwa mamilioni ya pesa alafu ujuzi kidogo sana.
Kama umekusudia kumpa mwanao elimu ya tofauti msomeshe international schools. Hizi nyingine unauziwa kingereza tu hakuna cha ziada.
Kaangalie matokeo Yao ya NECTA Nina jirani yangu pesa anayo alidanganywa na viongozi waongo wa Serikali wapiga porojo ambao Watoto wao wanasomesha English medium kuwa mikopo vyuo vikuu itatolewa kwa Watoto waliosoma shule za Serikali sio private ok akaamua mwanawe atasoma shule ya kayumba matokeo kutoka division four hakuna Cha mtoto kwenda hata form five pass zimegoma zoteBahati nasibu kivipi mkuu kwani Kayumba watoto hawasomi ? Hawafaulu kwenda chuo? What are you talking about bro?
Hauko sahihi elimu ya Tanzania sio job creater ila ni job seekers.....tena ya serikali ndo worse ata ile confidence hawana akili za mtoto alie malizia kwenye shule za sarikali zina ile dependence sydrome hawawezi maisha ya kujitegemea bila msaada wa serikale.Wengi wenu mnasomeaha watoto huko EM ili eti wajue kingereza au wafaulu form 4 na 6...hakuna lingine.Cha kujiuliza mtoto anafeli vipi kipindi hiki cha mama kizimkazi..mitihani inavujishwa hadi watsapp na telegram.
Sisi tulisoma Gov't schools na tulijua kuongea ung'eng'e vizuri tu na tulifaulu form 4,6 na kuingia huko vyuoni. Cha ajabu nyie wa private mnakuja bado kugombania kuomba loans HESLB ambazo ilistahili wale waliotoka Kayumba ndio wapate
Labda mtoto mwenyewe kilaza tu au mzazi hakuwa na mipango mizuri ya kumsimamia mtoto wake watoto kibao tu shule za Kayumba wamepata division one na watoto kibao tu shule za Private wamepata division 4Kaangalie matokeo Yao ya NECTA Nina jirani yangu pesa anayo alidanganywa na viongozi waongo wa Serikali wapiga porojo ambao Watoto wao wanasomesha English medium kuwa mikopo vyuo vikuu itatolewa kwa Watoto waliosoma shule za Serikali sio private ok akaamua mwanawe atasoma shule ya kayumba matokeo kutoka division four hakuna Cha mtoto kwenda hata form five pass zimegoma zote
Alilia kama mwehu
Nadhani Serikali ilifanya makusudi kupunguza Kasi ya Watoto Wenye nacho warudi chini wafeli huko
Yeye aligeuza mwanawe karata ya kuvizia mkopo bodi ya mikopo likabuma shule ya kayumba kamuweka ushindi wa bahati nasibu haukujibu
Hata hujaelewa nilicho kiandikaYou are missing a point big time, hakuna uhusiano kati ya kumsomesha mtoto shule ya EM au za kawaida, na kukusaidia akiwa mtu mzima. Kuna factors nyingi zinazosababisha mtoto au watoto wako wakusaidie ukipatwa na changamoto za afya au za kifedha.
Tafuta hela uwapeleke watoto wako shule bora na si kuja hapa kulalama.