Mtanzania acha kuji-stress kuwalipia watoto wako mamilioni kwenye shule za English Medium. Kilichomtokea Mr. Ibu kinaweza kukutokea hata wewe

Kwanza hizo private wananunua matokeo,nimesoma hizo shule tangu standard 1-4 ila saivi ni boda[emoji16]
 
True
 
Mmmh!! Wabongo bwana vitu vingine acheni mkumbo.Nafuatilia hizi shule walimu hawajui grammar kabisa yani wanawafundisha utumbo tena ni hizi shule zenu kubwa kabisa[emoji2357]

Ndio maana nasema siwezi kulipa mamilioni ili mtoto wangu afundishwe kiingereza na mtu ambae hajui kiingereza. Mtu ambae kiingereza sio lugha yake ya kwanza . Mtu ambae lugha anayo itumia kuwasiliana kila siku ni kiswahili. Ni ujinga na upuuzi wa hali ya juu sana
 
[emoji16][emoji16][emoji419][emoji419][emoji2357]
 
Hata hao EM hawawez
 
Njia niliyoipitia wanangu hawatapitia hata nani aseme, kidumu na fagio ni Mimi siyo wao, kujuta ni kawaida ya mwanadamu.
 
Njia niliyoipitia wanangu hawatapitia hata nani aseme, kidumu na fagio ni Mimi siyo wao, kujuta ni kawaida ya mwanadamu.

At the end of the day wataipitia tu coz wote watatembea na bahasha kutafuta kazi kama wewe
 
At the end of the day wataipitia tu coz wote watatembea na bahasha kutafuta kazi kama wewe
Mkuu sikuwahi kufanya hilo zoezi, nadhani ni msingi wa malezi yaliyonikuza.....sikuandaliwa kuajiriwa na wanangu siwaandai kuajiriwa.
 
Mkuu sikuwahi kufanya hilo zoezi, nadhani ni msingi wa malezi yaliyonikuza.....sikuandaliwa kuajiriwa na wanangu siwaandai kuajiriwa.
Good for you. But umewaanda pia na maisha bila wewe ? Kwa sababu wanasema " A father who has never prepared his son for his death he failed as a father"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…