Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
BERNARD KAMUNGO, Mwanasoka ambaye alilelewa kwenye kambi ya Wakimbizi huko Kigoma, Tanzania! Aliyekuwa na uwezo wa kucheza timu ya taifa ya Tanzania, sasa ameitwa rasmi timu ya taifa ya Marekani kuelekea kambi ya Olympic, uwezekano mkubwa kwasasa ni kuwa tayari ataiwakilisha Marekani huku klabu yake ya FC Dallas ikisema ametoka Kambi ya wakimbizi bila kuitaja nchi, another talent imechagua bendera tofauti na Tanzania.
Hii ni aibu kwa shirikisho letu kwa kushindwa kumpatia nafasi mchezaji aliyekuwa tayari kulitumikia taifa letu mara zote alizoitwa timu ya taifa alikuja lakini hakuwahi kupewa nafasi zaidi alihishia bench na jukwaani hatujui nini kilikuwa kinandelea. Mbaya zaidi nafasi anayocheza kuna watu wanaitumikia lakini uwezo wao ni mdogo sana ila hatujui vigezo gani vinavyowapa hyo nafasi.
Ni kipaji kikubwa sana tumekiacha kiondoke kilahisi hivi huku tukiwa na mashindano makubwa mbele yetu. Sitaki kuamini kama mzize,bocco,kibu,samatta wa sasa wanauwezo mkubwa zaidi kuliko BERNARD ? Hapana nadhani kuna kitu hakipo sawa na hili linaweza kuwa tukio sawa la MBAPE NA KAMERUNI japo sina uhakika. Nenda BERNARD kapambanie ndoto zako miyoyoni kwetu utabakia kuwa mzalendo wa kweli ila tuliamua kukupuuza kwa Ubinafsi tu na roho zetu.
Hii ni aibu kwa shirikisho letu kwa kushindwa kumpatia nafasi mchezaji aliyekuwa tayari kulitumikia taifa letu mara zote alizoitwa timu ya taifa alikuja lakini hakuwahi kupewa nafasi zaidi alihishia bench na jukwaani hatujui nini kilikuwa kinandelea. Mbaya zaidi nafasi anayocheza kuna watu wanaitumikia lakini uwezo wao ni mdogo sana ila hatujui vigezo gani vinavyowapa hyo nafasi.
Ni kipaji kikubwa sana tumekiacha kiondoke kilahisi hivi huku tukiwa na mashindano makubwa mbele yetu. Sitaki kuamini kama mzize,bocco,kibu,samatta wa sasa wanauwezo mkubwa zaidi kuliko BERNARD ? Hapana nadhani kuna kitu hakipo sawa na hili linaweza kuwa tukio sawa la MBAPE NA KAMERUNI japo sina uhakika. Nenda BERNARD kapambanie ndoto zako miyoyoni kwetu utabakia kuwa mzalendo wa kweli ila tuliamua kukupuuza kwa Ubinafsi tu na roho zetu.