Mtanzania achagua kuichezea timu ya taifa ya Marekani

Mtanzania anaishi vipi kwenye kambi ya wakimbizi huko kigoma? Kambini wanaishi wakimbizi iweje awe m Tz , embu mwache akajitafutie rikizi bongo kwenyewe kumejaa majungu tu.
 
Amefanya jambo la heri sana. Nampongeza maana atacheza World Cup ya 2026 hapohapo Marekani
 
Halafu analilaumu Shirikisho la soka.
 
Angekua zwazwa kurudi kucheza ndondo wakati kashafika nchi ya maziwa na asali.
 
Naona kwenye thread mleta mada umesema amewahi kuitwa timu ya Taifa na hakupewa nafasi, ni kweli kabisa ilikua hivii??
 
Mwache kijana atafute maisha.

Watz wenyewe wakipata uongoz wanawapa watoto uraia wa Marekani, ije kuwa mrundi wa Kasulu.
Umesema ukweli; watoto wa viongozi karibu wote wa Tanzania sasa ni raia wa Marekani. Kwa nini mkimbizi asiwe raia wa Marekani? Huyu klijana aliitwa timu ya Taifa ya Tanzania ila alikuwa keshaachukua uraia wa Marekani. Kwa vile Tanzania hairuhusu uraia pacha, ikawa ngumu kwake ingawa timu yake huko Texas ilikuwa imeshampongeza.
 
Huku Marekani hiyo michezo ya wachawi Hakuna,badilisha kipaji uniambie nije kukupakia kwenye ndege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…