Mtanzania ahoji Rais Magufuli angekuwa hai Kikwete angesema hayo?

Mtanzania ahoji Rais Magufuli angekuwa hai Kikwete angesema hayo?

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa kushughulikia kashfa kubwa inayolikabili taifa kwa sasa ya mkataba wa Bandari na DP World.

"Halafu Mstaafu angetulia hayupo kwenye kiti kabisa au anataka Tena ?? hatutaki Escraw ijirudie hapa
Wampe Nafasi Mkuu wetu wa Nchi atatumia Hekima na Busara zake na mwisho atatoa uamuzi wa Serikali baada ya kukaa kimya na kutafakari Sana lkn akiruhusu Hawa watamharibia Mnadhani angekuwepo Mzee Baba angejitokeza kujibu wakati yeye hayupo kwenye kiti?? kila wakati wanawaza siasa tu" amesema Omari.
 
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa
Kwa hiyo tuna ongozwa na Marais wa Wili? Mbona katibayetu hairuhusu jambo hili!!!!? Au umekosea makusudi au bila makusudi?

===
Hata hivyo, kumbukumbu zangu zinaniambia tunajua neno "kujimwambafy" lilianzia wapi na lilisemwa wakati gani!
 
Kwa yule mwehu hata hao maaskofu wasingetoa ule waraka wao yule alikuwa anablast kwanza bangi halafu ndio anakuja kunya kwenye vyombo vya habari.
 
Kumbe mlipo hoji kwanini yupo kimya ndo mlichokuwa mnamtaftia?
 
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa kushughulikia kashfa kubwa inayolikabili taifa kwa sasa ya mkataba wa Bandari na DP World.

"Halafu Mstaafu angetulia hayupo kwenye kiti kabisa au anataka Tena ?? hatutaki Escraw ijirudie hapa
Wampe Nafasi Mkuu wetu wa Nchi atatumia Hekima na Busara zake na mwisho atatoa uamuzi wa Serikali baada ya kukaa kimya na kutafakari Sana lkn akiruhusu Hawa watamharibia Mnadhani angekuwepo Mzee Baba angejitokeza kujibu wakati yeye hayupo kwenye kiti?? kila wakati wanawaza siasa tu" amesema Omari.
Wagalatia hamna akili
 
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa kushughulikia kashfa kubwa inayolikabili taifa kwa sasa ya mkataba wa Bandari na DP World.

"Halafu Mstaafu angetulia hayupo kwenye kiti kabisa au anataka Tena ?? hatutaki Escraw ijirudie hapa
Wampe Nafasi Mkuu wetu wa Nchi atatumia Hekima na Busara zake na mwisho atatoa uamuzi wa Serikali baada ya kukaa kimya na kutafakari Sana lkn akiruhusu Hawa watamharibia Mnadhani angekuwepo Mzee Baba angejitokeza kujibu wakati yeye hayupo kwenye kiti?? kila wakati wanawaza siasa tu" amesema Omari.
Kwenye kampuni ya DP ana maslahi yake makubwa tu
 
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa kushughulikia kashfa kubwa inayolikabili taifa kwa sasa ya mkataba wa Bandari na DP World.

"Halafu Mstaafu angetulia hayupo kwenye kiti kabisa au anataka Tena ?? hatutaki Escraw ijirudie hapa
Wampe Nafasi Mkuu wetu wa Nchi atatumia Hekima na Busara zake na mwisho atatoa uamuzi wa Serikali baada ya kukaa kimya na kutafakari Sana lkn akiruhusu Hawa watamharibia Mnadhani angekuwepo Mzee Baba angejitokeza kujibu wakati yeye hayupo kwenye kiti?? kila wakati wanawaza siasa tu" amesema Omari.
Kwani kwakua alikuwa rais ndioasishauri kitu?punguzeni wehu kidogo
 
Mtanzania Omari Hussein amemtaka Rais Jakaya Kikwete kumuacha Rais Samia Suluhu aongoze nchi kwa hekima zake hasa kushughulikia kashfa kubwa inayolikabili taifa kwa sasa ya mkataba wa Bandari na DP World.

"Halafu Mstaafu angetulia hayupo kwenye kiti kabisa au anataka Tena ?? hatutaki Escraw ijirudie hapa
Wampe Nafasi Mkuu wetu wa Nchi atatumia Hekima na Busara zake na mwisho atatoa uamuzi wa Serikali baada ya kukaa kimya na kutafakari Sana lkn akiruhusu Hawa watamharibia Mnadhani angekuwepo Mzee Baba angejitokeza kujibu wakati yeye hayupo kwenye kiti?? kila wakati wanawaza siasa tu" amesema Omari.
Huyu ndio DP WORLD Mwenyewe.
 
Back
Top Bottom