Hivi Kenya mpaka leo bado wanahangaikaga na magaidi?
Ngoja waje wafia dini kukupinga kuwa hakuna magaidi duniani toka TZ
Mbona wanamchelewesha kwenda kwa mabikra. Angepigwa moja ya kichwa awahi kwa warembo wa kusadikika.
kwa kuwa wewe utaishi milele duniani
Una uhakika gani kuwa huyo ni muislam?
Nina uhakika ndiyomaana nimeandika hivyo
Mkuu ni dini gani inaruhusu kuuwa watu ? Hata kama huna dini kabisa huwezi kuuwa watu kabisa ,hata Ule ubinadamu huwezi ,roho itakuuma tuu ,sijui huo ujasiri wanapata wapi ?Huyu sio mtu tena, ashakua zombi na atawapa tabu bure, pia kuna yule Mpare aliyeogopa kujilipua kwenye chuo cha Garissa baada ya magaidi wenzie Wasomali kujilipua. Yeye aliachia akamatwe mazima mazima, huwa ananyea debe akisubiri hukumu yake, lazima tumtie kitanzi maana yeye aliua wanafunzi halafu mjinga akaogopa kujilipua akatafune mabikira 72.
Nina uhakika ndiyomaana nimeandika hivyo
Mawazo ya kinyonge hayo.
Wewe unafikiri uue wenzako, halafu wewe uangaliwe tu, eti kisa sitaishi milele duniani.
Hata hivyo, imeandikwa... ukihukumu kwa upanga utakufa kwa upanga... Yule dogo amepata fungu alilolichagua.
We mbulula kweli! Kuna wachawi kama Kenya? Sema nyie wote mnaita waganga hamuezi tofautisha mchawi na mgangaEish ,hawa Tzed na WaSomali wanafanana sana kuanzia omba omba na ugaidi pia. Mahali tu wanatofautiana ni waSomali hawana uchawi.
kwani muislam Ana alama gani?
Hapa siyo uislam wala nini, tunataka haki itendeke kwa yeyote anayedhurumiwa uhai. Tusipoteze muelekeo wa kulinda haki kwa kisingizio cha dini. Muuaji hakubaliki kwa vyovyote.
ndugu kwann usingefungua kesi ya udhalilizaji ktk mahakama kuu ya afrika mashariki ? ungelipwa fidia yako nzuri tu ndugu yangu hawa manyang'au sio wakuwachukulia POA ni kuwapuruza mahakamani haiwezekana yaani wanashindwa battle na wasomali wana kuja ku harass watu wasio na hatia bwanaaa SHENZI sanaaa wale madokta wa cuba mpaka leo hawaja wapata wana hangaika tu
Ngumu sana kumeza jua wakenya wana vinyongo fulan na watanzania.
Wakenya wengi wana host magaidi huko kwao lakini nashangaa watanzania ndo wanahukumiwa sana huko kenya.
Mimi ilikuwa manusra sana nibabikizwe madawa ya kulevya.
Nimepita hapo kenya on trnasit kuja Dar bahati mbaya ndege niliyokuwa niunganishe nayo ilikuwa imeshaondoka. Dirishani wakasema nisubiri KQ ya jioni. Sasa nilipoona nimefika hapo saa nne kutokea Dubai na kuondoka mpaka jioni, nikaamua niende kuzunguka zunguka huko nje nirudi baadaye. Ile nashuka ngazi juu hapo chini akanikamata dada akiwa kwenye mavazi ya kawaida kanipeleka huko ndani wakaja askari kama 5 wakawa wananihoji kwa ukali huku wanakagua kabegi kangu simple. Waliniharasi zaidi walipogundua ni mtanzania tena wanasema waziwazi, wananilazimisha kujisaidia haja kubwa kwenye kibeseni fulani publicly mbele yao hapo nipo nao yaani walihumiliate sana.
Lakini nashukuru Mungu waliogopa maana kwenye begi langu walikuta kuna BIBLIA na vinguo na computer basi.
ndugu kwann usingefungua kesi ya udhalilizaji ktk mahakama kuu ya afrika mashariki ? ungelipwa fidia yako nzuri tu ndugu yangu hawa manyang'au sio wakuwachukulia POA ni kuwapuruza mahakamani haiwezekana yaani wanashindwa battle na wasomali wana kuja ku harass watu wasio na hatia bwanaaa SHENZI sanaaa wale madokta wa cuba mpaka leo hawaja wapata wana hangaika tu
511 people are talking about this
DCI KENYA
✔@DCI_Kenya
#DCI Detectives based at JKIA yesterday arrested Princess Okoye, a #Nigerian national with 77 Pellets of suspected narcotics.The 25-year -old lady had concealed the drugs in plastic bottles containing milk. Upon being placed under observation, she emitted an additional 15 Pellet.
580
5:52 PM - Mar 4, 2019 · Nyanza, Kenya
Twitter Ads info and privacy
Watanzania wamenaswa wengi sana pale JKIA mwaka huu wakisafirisha madawa ya kulevya. Pasipoti yake ndio ilifanya awe suspect. Ila ana bahati sana, wenzake huwa wananyweshwa uji wa unga wa ngano. Kisha wanavuliwa nguo na wanatupwa kwenye selo ya tiles full suit, kote kote kutoka kwa paa hadi kwenye sakafu. 😀Hio yake ilikua si ushukiwa wa ugaidi .... Hio yake ni ushukiwa wa kua mule, kuna jamaa wengi Sana wanashikwa pale JKIA wakiwa wame meza dawa za kulevya zikiwa ndani ya mfuko.... Au maranyengine badala ya kumeza huchukua huo mfuko na kuufilinyilia Kwa shimo la nyuma!!!!! Kwahivyo walipomwambia aende haja kubwa mbele Yao si eti walikua wanataka kum humiliate, walikua wanataka kuona sample ya kinyesi kama kutaanguka vifuko vilivyo jaa madawa, tumeshika wakenya, wakongo,wanaigeria,Burundi, Mozambique na mtindo huu, hata kuna video flani Yao iwahamishe hadi jela ya south Africa kuketishwa Yao kusafirisha tembe za dawa za kulevya.......
Bora mwenzako anaenda kuoa mabikra wewe ukienda unakwenda kuchomwa moto