Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hopless kabisa, Hayo ndio mambo yetu tukishafika huko ughaibuni.
Hio ni aibu ndugu sio sifa.
Hao wapo kwenye Tasnia ya muziki Na Dance Ulitaka wabebe Prospects
Hawa wao ndio walioimba huo wimbo? Hawa wameshashiba wanapumbazika tu. Yani Dume zima kuranda njiani na Taula kiunoni huku linakata mauno nao ni ujanja?
Utakuta hata ni yuke nyani ngabu kaamua kuruka sarakasi na taulo baada ya kumpoteza mzee pombe wake.
MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI
Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani
Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani.
Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana waliovalia taulo, kichwani akiwa amesuka mtindo wa Rasta.
Vijana wengine wawili; mmoja anatoka Nigeria na mwingine anatoka Afrika ya Kusini
Walikuwa wakicheza Muziki wa Dance aina ya AMAPIANO kutoka Afrika Kusini.
Jina la wimbo; WOZA By Mr Jazziq
Nashindwa kupandisha Video
Nikifanikiwa naipandisha hum
Video hiyo imevutia wengi Duniani na wengi wamejikuta wakiifurahia
Taikon wa fasihi
Kwa kweli mimi mwenyewe nimeifurahi lakini pia nawapongeza sana Vijana hao
View attachment 1761667
Acha Stress Boss, nani alisema ni ujanja au unajitungia mambo yako kichwani?
Sasa mtu akishiba na akapumzika ni kosa.
Unaonekana huna exposure na upo so limited, yaani too conservative.
Dunia haipo vile utakavyo, wewe ndio utaishi utakavyo, sio wengine.
wenzako wanafanya watakavyo pasipo kuvunja sheria, wewe unaleta athari ulizopewa na jamii yako na athari zako za kisaikolojia
Kijana wenyewe utakuwa ni wewe na ushukuru ulaya wastaraabu ila ingekuwa bongo ukicheza hivyo wangeshakuwa wame kubutua na gari.MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI
Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani
Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani.
Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana waliovalia taulo, kichwani akiwa amesuka mtindo wa Rasta.
Vijana wengine wawili; mmoja anatoka Nigeria na mwingine anatoka Afrika ya Kusini
Walikuwa wakicheza Muziki wa Dance aina ya AMAPIANO kutoka Afrika Kusini.
Jina la wimbo; WOZA By Mr Jazziq
Nashindwa kupandisha Video
Nikifanikiwa naipandisha hum
Video hiyo imevutia wengi Duniani na wengi wamejikuta wakiifurahia
Taikon wa fasihi
Kwa kweli mimi mwenyewe nimeifurahi lakini pia nawapongeza sana Vijana hao
View attachment 1761667
wanafurahia maisha na hakuna ubaya kabisa
Dunia inatakiwa kuwa ya raha kama hivi
hiyo robert heriel ana strees nyingi sana
Kijana wenyewe utakuwa ni wewe na ushukuru ulaya wastaraabu ila ingekuwa bongo ukicheza hivyo wangeshakuwa wame kubutua na gari.
Kijana wenyewe utakuwa ni wewe na ushukuru ulaya wastaraabu ila ingekuwa bongo ukicheza hivyo wangeshakuwa wame kubutua na gari.