MTANZANIA aibuka kwenye Video ya Ampiano inayotrend Dunia kwa sasa

MTANZANIA aibuka kwenye Video ya Ampiano inayotrend Dunia kwa sasa

Hopless kabisa, Hayo ndio mambo yetu tukishafika huko ughaibuni.

Hio ni aibu ndugu sio sifa.
 
Hao wapo kwenye Tasnia ya muziki Na Dance Ulitaka wabebe Prospects

Hawa wao ndio walioimba huo wimbo? Hawa wameshashiba wanapumbazika tu. Yani Dume zima kuranda njiani na Taula kiunoni huku linakata mauno nao ni ujanja?
 
Hawa wao ndio walioimba huo wimbo? Hawa wameshashiba wanapumbazika tu. Yani Dume zima kuranda njiani na Taula kiunoni huku linakata mauno nao ni ujanja?

Acha Stress Boss, nani alisema ni ujanja au unajitungia mambo yako kichwani?

Sasa mtu akishiba na akapumzika ni kosa.

Unaonekana huna exposure na upo so limited, yaani too conservative.

Dunia haipo vile utakavyo, wewe ndio utaishi utakavyo, sio wengine.

wenzako wanafanya watakavyo pasipo kuvunja sheria, wewe unaleta athari ulizopewa na jamii yako na athari zako za kisaikolojia
 
MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI





Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani


Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani.





Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana waliovalia taulo, kichwani akiwa amesuka mtindo wa Rasta.





Vijana wengine wawili; mmoja anatoka Nigeria na mwingine anatoka Afrika ya Kusini





Walikuwa wakicheza Muziki wa Dance aina ya AMAPIANO kutoka Afrika Kusini.


Jina la wimbo; WOZA By Mr Jazziq

Nashindwa kupandisha Video
Nikifanikiwa naipandisha hum



Video hiyo imevutia wengi Duniani na wengi wamejikuta wakiifurahia

Taikon wa fasihi





Kwa kweli mimi mwenyewe nimeifurahi lakini pia nawapongeza sana Vijana hao

View attachment 1761667

 
Acha Stress Boss, nani alisema ni ujanja au unajitungia mambo yako kichwani?

Sasa mtu akishiba na akapumzika ni kosa.

Unaonekana huna exposure na upo so limited, yaani too conservative.

Dunia haipo vile utakavyo, wewe ndio utaishi utakavyo, sio wengine.

wenzako wanafanya watakavyo pasipo kuvunja sheria, wewe unaleta athari ulizopewa na jamii yako na athari zako za kisaikolojia

wanafurahia maisha na hakuna ubaya kabisa

Dunia inatakiwa kuwa ya raha kama hivi

hiyo robert heriel ana strees nyingi sana
 
MTANZANIA AIBUKA KWENYE VIDEO INAYOTREND DUNIANI





Kuna Video inayotrend kwa sasa Duniani


Inayowaonyesha Vijana watatu waliovalia Taulo nyeupe Wakivuka barabara huku walicheza huko Washington DC, Marekani.





Moja ya Vijana hao imeripotiwa kuwa ni MTANZANIA, ambaye ni wamwisho kwa Vijana waliovalia taulo, kichwani akiwa amesuka mtindo wa Rasta.





Vijana wengine wawili; mmoja anatoka Nigeria na mwingine anatoka Afrika ya Kusini





Walikuwa wakicheza Muziki wa Dance aina ya AMAPIANO kutoka Afrika Kusini.


Jina la wimbo; WOZA By Mr Jazziq

Nashindwa kupandisha Video
Nikifanikiwa naipandisha hum



Video hiyo imevutia wengi Duniani na wengi wamejikuta wakiifurahia

Taikon wa fasihi





Kwa kweli mimi mwenyewe nimeifurahi lakini pia nawapongeza sana Vijana hao

View attachment 1761667
Kijana wenyewe utakuwa ni wewe na ushukuru ulaya wastaraabu ila ingekuwa bongo ukicheza hivyo wangeshakuwa wame kubutua na gari.
 
Sijaelewa kabisa ina maana tumsifia MTANZANIA anavuka Barbara huku amevaa taulo au?

Sijaelewa, mwenye kuelewa nahitaji ufafanuzi tafadhari.
 
Back
Top Bottom