Mtanzania akamatwa na dawa za kulevya India

Mtanzania akamatwa na dawa za kulevya India

Boran Jakutay

Senior Member
Joined
Apr 8, 2023
Posts
110
Reaction score
259
IMG_20230428_112457.jpg

Abiria mmoja Mtanzania amekamatwa juzi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi nchini India, baada ya kukutwa akiwa amebeba dawa za kulevya aina ya cocaine.

Msafiri huyo aliwasili akitokea Addis Ababa, Ethiopia na dawa hizo zilikuwa zimewekwa kwenye chupa tatu za pombe kali aina ya Whiskey.

Maafisa wa Forodha wa India wamesema kuwa hii imekuwa njia mpya inayotumika sana kusafirisha dawa za kulevya, kwani pombe wanayoitumia (liquor)huyeyuka kwenye uwazi hivyo dawa hizo hutolewa kwa urahisi.

Chanzo: Kitenge Updates
 
View attachment 2602198
Abiria mmoja Mtanzania amekamatwa juzi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Indira Gandhi nchini India, baada ya kukutwa akiwa amebeba dawa za kulevya aina ya cocaine.

Msafiri huyo aliwasili akitokea Addis Ababa, Ethiopia na dawa hizo zilikuwa zimewekwa kwenye chupa tatu za pombe kali aina ya Whiskey.

Maafisa wa Forodha wa India wamesema kuwa hii imekuwa njia mpya inayotumika sana kusafirisha dawa za kulevya, kwani pombe wanayoitumia (liquor)huyeyuka kwenye uwazi hivyo dawa hizo hutolewa kwa urahisi.

Chanzo: Kitenge Updates
Kwenye pesa akili inafanya kazi to maximum..hizo mbinu ni balaa..
 
Back
Top Bottom