engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
sishabikii hukumu ya kifo lkn nahisi hili ndilo lililobaki maana sidhani kama kuna watakaojishughulikisha na hili.
Huo ndio ukweli wa mambo!yule dada hutasikia kesi yake hata siku moja na mwisho wa siku mzigo utapungua kilo ukiwa polisi na dada kurudi kwao kujaribu tena safari ya pili kuleta madawa tanzania
Mkuu mpayukaji, he's not dead yet.. khaaa!
naombea anyongwe hadharani. Ningefurahi pia kama angetaja hadharani katumwa na nani.
Haahaahaa dah mbavu sina haaahaaaaahaa china ni sayari nyingine kabisa, hata mungu tu wamemuweka mipaka ya kumsikiliza/kumshukuru ni januari hadi januari sembuse Zuberi mtz?yaani mpaka sasa ni kama kafa tu,maana hakuna kitakacho mtoa ktk hili labda kuwe na tetemeko la ardhi kama japani na hata hivyo watawahi kumpiga risasi kabla hajafa kwa tetemeko,CHEZEA CHINA WEWE,watu wa madawa waishike sharubu kenya,uganda na tanzania lakini sio uchina
si unakumbuka pale kenya baada ya kukamatwa zile shehena za madawa walikuja jamaa kutoka nje kuja kukomboa madawa yao na walipewa ulinzi na serikali ya kenya,hebu sasa waeleze waende uchina wakakomboe dawa zao toka kwa ZUBER hehehehehehe itakula kwao yatarudishwa majivu tu
huyo dada wa SA alinyongwa kwa kubeba 3kg of methamphetamine,ina maana kama ni container kwa wachina hiyo kesi ingekuwa imekwisha na wahusika wangesha oza kitambo sana
na jiulize haki za binadamu mbona hawaonekani uchina? mbona hatuwasikii wakipiga kelele uchina wala kwenda uchina kuandamana?
wanaelewa kuwa wakienda uchina kwanza hawatarudi,mbili USA haitawasaidia na tatu watahukumiwa kwa sheria za uchina
utawaona wakija tanzania na nchi nyingine ambazo kwao wanaelewa kuwa hawatakamatwa wala kushitakiwa
HONGERA UCHINA
[FONT=Arial, Helmet, Freesans, sans-serif]
[/FONT]
Kwenye ishu kama hizi wachina hawana mda wamajadiliano na binadamu yeyote duniani zaidi ya kuangalia sheria na kuitekeleza!Kwanza kabisa naomben mawasiliano ya serikali ya China!
Niwaambie waje wamnyongee hapa mbongo tena maeneo ya Mnazi mmoja ili mapusher na ma don wao waone na wakubwa wanaohuska waone
wenyewe wamekaa maofsn wametunisha mitumbo kaz yao nikuagiza
vijana,rafk,masela,kaka,dada,na ndug zetu ndo wanaoathirika na kunyongwa
tena mimi ningewaambia china kuna soko tena airport unapta kiurahis ili waende wakafie mbali na matumbo yao!
Sh@@@@zy!q @@@@@#nina zao kabisa
Kwenye ishu kama hizi wachina hawana mda wamajadiliano na binadamu yeyote duniani zaidi ya kuangalia sheria na kuitekeleza!
Taarifa za kuaminika nikuwa,
Mtanzania
akamatwa na unga China ananyongwa J'nne anaitwa Zuberi Mussa, Ni mkaazi wa Zanzibar aliwahi kuishi Canada! Sijui atasaidiwa vipi maana yeye ni container tu Ma don wapo Bongo
Nduguze Wasubiri majivu! Yatatumwa zanziber kwa DHL.
Ndio nchi nyingi duniani huchoma maiti, na chini ni mojawapo!Kwani maiti huwa wanaichoma moto?
nimejarib kuwasiliana nao wamesema niache ujinga lbda watafikilia ombi langu wakimkamata kigogo au mheshimiwa fulan wa tz ndo watajifkilia kumnyongea posta au magogon ama tandale kwa mtogole
zuberi ... Jina linalofuatia ni nani vile ...?
Huyu tulimpenda lakini mungu kampenda zaidi..mwacheni apumzike kwa amani