Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 55
Kuna habari ambazo bado ninazifuatilia kuwa kuna mtanzania amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake baada ya Polisi kuvunja mlango. Ninajaribu kufuatilia kupata habari kamili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitajie jina la huyo mtu nifuatilie hii habari.Kuna habari ambazo bado ninazifuatilia kuwa kuna mtanzania amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake baada ya Polisi kuvunja mlango. Ninajaribu kufuatilia kupata habari kamili.
Nasikia anaitwa swalehe Msuya lakini sina details zozote kwa hiyo sitaki maswali!
Kuna habari ambazo bado ninazifuatilia kuwa kuna mtanzania amekutwa amekufa ndani ya nyumba yake baada ya Polisi kuvunja mlango. Ninajaribu kufuatilia kupata habari kamili.
Nasikia anaitwa swalehe Msuya lakini sina details zozote kwa hiyo sitaki maswali!
aaaaaah bad news tupeni more info jamani
Toa pole basi!
nashindwa kutoa pole kwani habari zenyewe bado hawajathibitisha bwana
ila poleni ndugu wafiwa kama habari ni ya ukweli mola aiweke roho ya marehemu pema peponi
Amen
Swalehe Msuya?
Alikuwa mwandishi wa habari "Daily News," Dar es Salaam, na akina Godfrey Mwakikagile, Jenerali Ulimwengu, Reginald Mhango, Abdallah Ngororo, Charles Kizigha, Kassim Mpenda, Juma Penza, Philip Ochieng', Joseph Mapunda, Costa Kumalija na wengineo in the early seventies.
Alihamia lini USA?
Ikiwa habari hizo ni kweli, poleni sana ndugu zake na rafiki zake.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
jana kuna mtanzania mwingine amefia malawi sehemu za chinteche.hapo je? Mwaonaje.........
Swalehe Msuya ninayemfahamu mimi ni accountant, na alikwenda huko US kusoma MBA kama 5 or more years ago, na ninavyojua anaishi huko. Kama habari haitoshi usiweke hapo majina unatuchanganya bure wengine.