hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
nilidhani nimeona peke yanguKazuri
Dark Side
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilidhani nimeona peke yanguKazuri
Dark Side
keen = having or showing eagerness or enthusiasmNaamini next of keen atakua kajulishwa.
Rip
keen = having or showing eagerness or enthusiasm
kin = one's family and relations.
Sawa mkuu, tunabishana kama vile maiti inaliwa! Nenda kaulizie habari zake kwenye ubalozi wa Tanzania uliopo Dubai utapewa ukweli. Jinga wewe!
Tueleze utaratibu upoje? Maana huyo alikua ni passenger na baada ya kufariki mwili wa binadamu husafirishwa kama cargo ingewezekana vipi? Embalming certificate? Kupata jeneza, kulifanyia wrapping hizo gharama zote anabeba nani?RIP mtanzania mwenzetu. Ina maana ile kauli ya Mh. Rais ya kuwasitiri wenzetu katika makao ya milele sehemu za asili au makaazi yao Tanzania bado haitekelezeki.
Maana ingewezekana kabisa maiti iletwe Tanzania kufuatana na taratibu za IATA na kama kweli alifia akiwa angani ndani ya ATCL..
Mkuu tupe ukweli basi màana siku hizi taarifa nyingine sijui wanazipikiaga wapi!Acha upumbavu hakuna aliye kufa me mwenyewe nilikuwa kwenye hiyo ndege
Jamaa msimu huu amaekuwa maarufu kwenye kutangaza vifo, sijapata jibu kwa niniMtangaza vifo naona sasa umehamia Dubai!
Bro we mashine, nlikuwa nashindwa kuelewa ila bado sikujiuliza la ndege haikutua popoteFake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Sent using Jamii Forums mobile app
Passport hii mbona haitumiki tena, alikuwa anaitumia kivipi?Mtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Uliposema ni 'fake news', nilidhani unafahamu ukweli, kumbe ukaendelea kuulizaFake news! ! Ndege inaruka moja kwa moja mpaka dar. Au unasema ilifanya emergency landing Dubai. And show us the proof! ! Kwamba ilifanya hiyo emergency landing.
Mbona passort ya zamani??Mtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072
Dah....hivi kumsafirisha marehemu na mtu aliyehai.... gharama kubwa Ni yupi?Labda waliona ni gharama kubwa kusafirisha mwili.
Apumzike kwa amani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Pass ya zamani hii amabyo sasa haitumiki au nieona vibayaMtanzania ambaye passport yake imewekwa hapa amefariki akiwa njiani kuja Tanzania kutoka India. Aliugua ghafla akiwa Dubai na amezikwa huko huko. Ni kwenye ile ndege yetu iliyoenda kuwachukua.
View attachment 1455072