TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

Prof Janabi wa JF

Senior Member
Joined
Jul 7, 2023
Posts
165
Reaction score
450
Wakuu tunatangaza msiba wa mtanzania Prosper Prosper ambaye alikuwa anaishi Marekani, amefariki kwa ajali ya gari.

Mtanzania huyu alikuwa anaishi Sugerland - Texas

Taarifa zaidi kukujia.

IMG-20240902-WA0019.jpg

 
USA hata leseni zake zinachanganya sana kwa wabongo kwasababu automaticaly ni international dah na zile highways ukiingingia wrong way ni deadly .
Leseni sio shida. Pia kuingia highway sio shida kwa kuwa mtu ameishi huku hata kuwa na makosa ya kutumia kushoto kama Tz yanakuwa yanapungua kwa kuwa unakuwa ushazoea kulia. Kifupi imefika muda amepumzika.

Mtz mwingine yuko majeruhi
 
Back
Top Bottom