milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
LectureWewe unafanya kipi cha maana Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LectureWewe unafanya kipi cha maana Tanzania?
Nimrodi Mkono alikuwa Billionare, maiti yake kuchelewa kurudishwa Tanzania tatizo lilikuwa ni pesa?Wachaga hawazikwi ugenini...hope atasafirishwa
Kule nasikia makaburi yanapangishwa kila mwezi unatakiwa kulipa kodi. Alisikika mlevi mmoja akinenaKuna watanzania huko wamzike sio lazima asafirishwe , kama familia iko fresh basi wamzike..
Nahc kwa Nimrod kulikuwa na mgogoro wa familia wakautatua kwanza ndo wakafanya kumsafirishaNimrodi Mkono alikuwa Billionare, maiti yake kuchelewa kurudishwa Tanzania tatizo lilikuwa ni pesa?
Jipeni muda japo kidogo kujuwa procces ya kusafirisha maiti kutoka Marekani mpaka Tanzania, its all about money? Muelewe maiti ni cargo siyo binadamu tena.
Umesikia neno drink tu tu....me nimesikia crushDon't drink and drive 🔞
Wapumzike kwa amani
Kivipi?Unamuonea wivu hadi marehemu?
Maiti zinazikwa ardhini na hilo linaonekana.Mahala Pema huko udongoni ulishawahi ishi huko ukaliona hilo?
Maneno ya watu tu.Nini kinafanya ardhini kuwe pema?
Dah [emoji23]But they haven't said if the dude was a Tanzanian , i wonder how have you managed to recognize his nationality ?? Was he your friend or neighbor ?? .. coz the reporter only said it was a highway crush ,, i guess,, it would have happened to any us citezen ...
Is like you want to say the highway crush accident happened because a drive was Tanzanian ,, am i all right ?? If yes,, no that is not true coz the situation could happen toanyone .. all in all my condolences
🤣🤣🤣Wee jamaa kila siku unapinga uwepo wa Mungu na unasema daily mtu akifa hakuna Cha peponi Wala mbinguni.
Sasa unaposema R.i.p (rest in peace) hapo mahala pema ni wapi kama sio mbinguni ama peponi?😂😂😂
Rip ni mahala pema??Wee jamaa kila siku unapinga uwepo wa Mungu na unasema daily mtu akifa hakuna Cha peponi Wala mbinguni.
Sasa unaposema R.i.p (rest in peace) hapo mahala pema ni wapi kama sio mbinguni ama peponi?😂😂😂
Kwenye swali langu,hakuna mahali nimetaja mbinguni,Maiti zikifa zinazikwa ardhini na hilo linaonekana.
Sasa wewe unathibitishaje mtu akifa huenda mbinguni?
Ulishawahi kuishi huko mbinguni au kuona mtu akienda huko mbinguni?
Kwanza unathibitishaje Mbinguni kupo?
Watu wap hao?Maneno ya watu tu.
Rest in peaceRip ni mahala pema??
Si utazame news kwenye hiyo clip, au haujaelewa?Huyo ukisikia kagongwa na gari au kala shaba wala haishangazi, ujinga wa buza anaupeleka New York City.