Prof Janabi wa JF
Senior Member
- Jul 7, 2023
- 165
- 450
Hupendi lakini unakunywa.Sipendi pombe
Umezaa? Uliwahi tiwa mimba? Nijibu ntakupa ishu.Sipendi pombe
Kuna chama...HARAMBEE PAMOJA WE CAN...kama alikuwamo sio issueMchango wa kusafirisha maiti sasa ndo huwa kimbembe. Yule Edm hutamsikia hapo
Team wabeba mabomu mmepoteza mwenzenu. Poleni sana. Tulijua hatutaiona hii ID tena, kumbe sio weweππππPoleni Sugarland.
May all beings attain enlightenment.
RIP.
Huyo ukisikia kagongwa na gari au kala shaba wala haishangazi, ujinga wa buza anaupeleka New York City.Nikajua ni Mwijaku
Leseni sio shida. Pia kuingia highway sio shida kwa kuwa mtu ameishi huku hata kuwa na makosa ya kutumia kushoto kama Tz yanakuwa yanapungua kwa kuwa unakuwa ushazoea kulia. Kifupi imefika muda amepumzika.USA hata leseni zake zinachanganya sana kwa wabongo kwasababu automaticaly ni international dah na zile highways ukiingingia wrong way ni deadly .
Poleni Sugarland.
May all beings attain enlightenment.
RIP.